Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,231
Mvulana:naweza nikapanda milima mirefu, naweza nikaongelea baharini kwenye kina kiredu na hata kutembea kwenye mkaa wa moto unaochoma,hii yote nikuonyesha jinsi navyokupenda
Msichana: Jamani dia una maneno matamu ndo mana nakupenda,leo uje basi getoni kwangu.
Mvulana: We mjinga nini? siwezi kuja nje mvua inanyesha.
Msichana: Jamani dia una maneno matamu ndo mana nakupenda,leo uje basi getoni kwangu.
Mvulana: We mjinga nini? siwezi kuja nje mvua inanyesha.