Ni kweli maafa ya mafuriko yanaitwa natural disasters, lakini sio lazima natural disasters zilete maafa kwa raia na mali zao.
Asilimia 60 ya maafa ya mafuriko Dar es Salaam yanatokana na uzembe, ubinafsi, kutojali, na uongozi mbovu kwa ujumla wa viongozi wa serikali. Si mara ya kwanza Dar es...
Hadaa na uzembe wa Serikali katika utekelezaji wa Sera ya Elimu bila malipo; unaangamiza Elimu nchini.
Utangulizi
Kwa takribani wiki tatu (3) mfululizo hususani kwa mwezi Januari 2023, kumeibuka maswali, maoni, malalamiko na vilio kuhusu sekta ndogo ya Elimu nchini. Mambo yaliyopelekea kuwepo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.