tattoo

A tattoo is a form of body modification made by inserting ink, dyes, and/or pigments, either indelible or temporary, into the dermis layer of the skin to form a design. The art of making tattoos is tattooing.
Tattoos fall into three broad categories: purely decorative (with no specific meaning); symbolic (with a specific meaning pertinent to the wearer); and pictorial (a depiction of a specific person or item). In addition, tattoos can be used for identification such as ear tattoos on livestock as a form of branding.

View More On Wikipedia.org
  1. A

    Wanawake Hawa kujichora tattoo ya Nabii Geo Davie, ni mahaba au kutafuta fursa?

    Hapo chini ni mgongo wa mwanamke kwa Jina la Elizabeth Benjamin aliyejichora tattoo ya Jina la Geo Davie, na kupelekea Ndoa yake kuvunjika. Lakini alipofika kanisani kwa Nabii Huyo aliweza kuvuta mkwanja kama hongera kwa kujichora tattoo hiyo. Na Sasa msanii Amber Rutty Naye amefuata kwa...
  2. Influenza

    UZUSHI Mtu aliyechora tattoo hawezi kabisa kuchangia damu

    Habari Wakuu, Hata hivyo kumekuwa na dhana kuwa mtu anayejichora tattoo hawezi kumchagia mtu damu na sababu za kutokufanya hivyo hazijawekwa bayana zikaeleweka Je, ni kweli kwamba mtu aliyechora tattoo hawezi kuchangia damu? Na kama ni kweli zipo ni sababu za kisayansi ya kushindwa kufanya hivyo?
  3. Andre-Pierre

    DC wa Pangani atupia tattoo ya mumewe mubashara

    DC wa Pangani amezua gumzo baada ya kuonekana na tattoo ya mumewe hadharani. Ikumbukwe mumewe ni Mbunge wa Pangani na Waziri mwandamizi. Unampa asilimia ngapi DC wa Pangani kwa tattoo hii
  4. kali linux

    Baadhi ya 'madada poa' nchi za nje wanatumia tattoo zenye QR code kufanyiwa malipo ili kuepukana na wateja wezi

    Hello bosses and roses... Kwenye harakati zangu nimesikia matumizi ya teknolojia ambayo yameniacha mdomo wazi kwakweli, moja wapo ni hili. Kuna rafiki yangu yupo huko nchi za watu alinambia kwamba huko madada poa wameacha kupokea cash sababu wateja wengine ni wezi, hivyo wanachofanya wanakua...
  5. S

    Mwanamke ukijichora tattoo, huolewi "ng'o!

    Tattoo zina tafsiri chanya huko majuu, lkn siyo hapa Bongoland. Watu wengi wanatafsiri tattoo kama uhuni (wezi, makahaba na maraibu wa madawa ya kulevya). Hakuna mwanaume atakuoa mwanamke uliyechora tattoo kwenye mapaja, sehemu za siri, kwenye titi, mabegani ama mikononi. Haya yote ni maeneo...
  6. bryan2

    Tattoo zinamaanisha kumilikiwa na mtu au kitu fulani

    Tattoo sijui maana yake nzuri kwa Kiswahili ila ni michoro/picha mbalimbali zinazochorwa kwenye mwili wa binadamu kwa malengo mbalimbali wako wenye wamechora tattoo za Simba, Nyoka, Msalaba,wapenzi wao...nk Tattoo kwa kifupi inamaanisha i Belong to/mimi ni mali ya mtu fulani au kitu flani au...
  7. MSAGA SUMU

    Inakuaje wazazi wenye tattoos mwili mzima wanazaa Mtoto asiyekuwa na tattoo hata moja?

    Hili swali nimejiuliza muda mrefu Sana lakini nimekosa jibu. Yaani mama amejaa tatoo mwili mzima baba pia amejaa wino mwili mzima lkn Mtoto anazaliwa Hana hata tone la tattoo. Wataalam wa sayansi nipeni msaada wa hili suala
  8. sky soldier

    Ujana haudumu, kuchora tattoo kunaweza kukugharimu sana maisha yako ukubwani

    Huwa nawaonea huruma sana vijana wadogo wanaochora tattoo kuona ni ujanja ama kufuata mkumbo... kwa nchi kama ulaya na marekani tattoo sio shida hata kidogo, ila kwa hapa bongo hali ni tofauti kabisa. kwa mitazamo ya jamii zetu, mtu akisha chora tatoo basi heshima yake inapungua pakubwa mno...
  9. USSR

    Tattoo ya Hayati Magufuli kwenye mguu wa Harmonize

    Huyu konde boy alimkubali sana JPM kama watanzania wengi walivyomkubali hadi akaamua kuchora bonge la tatoo mguuni Konde boy sio msaliti kama vijana wengi walianza kumnanga JPM alipofariki . Hii picha alipiga juzi kwenye Tuzo za kilimanjaro, ambapo alichukia Tuzo tatu USSR
  10. T

    Tukubali tukatae, mtu kuwa na Tattoo ni kielelezo cha malezi mabovu

    Tukubali tukatae, ukiona mtu ana tattoo yoyote ujue ni matokeo ya malezi mabaya. Tattoo ni ishara ya mtu kutokujijali, kutojali afya wala thamani ya mwili wake na pia kutokutumia akili sawasawa. Ndio maana China kwa ajili ya kulinda kizazi cha sasa na kizazi cha baadae imepiga marufuku...
  11. Ben Zen Tarot

    Madhara ya kuchora Tattoo Mwilini

    Tattoo ni nini? hii ni uwekaji wa wino kwenye ngozi ya ndani kitaalamu kama dermis kubadilisha rangi kabisa ya maisha yako yote au kwa muda tu, inategemea na uwekaji.. kwa dunia ya sasa kujichora tatoo ni kama fasheni fulani kwenye jamii, ukienda kuchora tattoo kuna uwezekano mkubwa sana...
  12. MTAZAMO

    Kujichora tattoo ni vibaya au dhambi?

    Habari wakuu, Kuna kisa ambacho nisingependa kukiweka hapa lakini kimenivutia kuandika kidogo ufahamu juu ya tattoo kama ni dhambi au vibaya kwa muono wangu binafsi. Kujichora tattoo kwa sehemu kubwa ya jamii zetu inachukuliwa kama uhuni na kila tafsiri mbaya. Lakini zipo jamii za kiafrika...
Back
Top Bottom