miss tanzania

Miss Tanzania is a national Beauty pageant in Tanzania.

View More On Wikipedia.org
  1. mdukuzi

    Nivyomchakata Miss Tanzania kwa shilingi 50,000

    Baada ya kurudi toka USA nikiwa sina kitu,kazi ya kwanta ilikuwa kutafuta shughuli ya kufanya. Rafiki yangu mmoja tuliyesoma nae High School alikuwa tayari ni boss kwenye kampuni moja ya simu za mkononi. Miaka hiyo ajira hazikuwa za taabu,akanioachika kitengo cha Call center,kazi ya kuoikea...
  2. mtwa mkulu

    Makubwa yamkuta Miss Tanzania

    Ni yule mwenye kijungu matata. Yaelezwa kuwa hajatulia. Inasemekana amekuwa anajivunia uzuri wake. Makubwa sana yamemkuta Jionee mwenyewe
  3. Pozzers

    Kamati ya Miss Tanzania: Mshindi wa pili ataiwakilisha nchi katika shindano la Miss World 2021

    Mshindi wa Pili wa Miss Tanzania, Juliana Rugamisa ndiye atakayeiwakilisha nchi kwani mshindi wa kwanza,Rose Manfere amekosa vigezo. Kamati imesema kazi ya BASATA ni kutoa kibali, lakini wao ndio wenye leseni.
  4. MwanaFalsafa1

    Theresa Shayo: Miss Tanzania Mwafrika wa kwanza 1967 katika historia ya Tanzania

    M's Tanzania wa Kwanza (Hayati Theresa) Mwaka 1960 ndipo Mashindano ya urembo nchini yalipoanza na hayatakuwa na muonekano wa kimataifa kwa sababu yalifanyika kwenye maeneo machache. Kwani kumbukumbu zilizopo zinaonyesha kwamba mrembo wa kwanza kunyakua taji hilo la Miss Tanzania, si mwingine...
Back
Top Bottom