Nipo natumia huduma ya Tigo postpaid, nalipia elf 60 kupata gb 80 kila mwezi (mikataba kwa wateja wapya imebadilika unapewa gb 72)
Kifurushi hiki huwa kinajiunga chenyewe kila tarehe 1 ya mwezi mpya saa sita usiku siku inapoanza.
Nilitaka kufanya utafiti wa kujua kama pana upigaji maana ni...
Hii ni timu tishio kwenye kundi lao kwa sasa, inacheza direct football ikiwatumia wachezaji wao hatari wenye kasi na nguvu kusukuma mashambulizi mbele, ni timu yenye beki imara sana wakiongozwa na beki kijana bwana joash onyango, Na ilo limeonekana kwenye mechi zote mbili walizocheza na timu...
Kila binadamu apa duniani ana kitu au jambo ambalo akilifanya, akilipata ama kulifikia basi anajihisi na kuona kuwa siku yake imekamilika.
Na kila binadamu, mwanadamu ana jambo ama kitu ambacho akikikosa ama kutokukifanya au kutokukifikia basi moja kwa moja hujihisi kuwa siku yake haijakamilika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.