historia ya tanu

The first season of Esta historia me suena (shown on screen as Esta historia me suena: Vol. 1), a Mexican anthology drama television series created and developed by Televisa and broadcast on Las Estrellas it premiered on 13 May 2019 and ended on 28 June 2019, and the first season consists of thirty one-hour episodes. The entire season is available via streaming on Blim (now known as Blim TV).
Each episode of the first season is presented by the singer María José and the actor Jan Carlo Bautista.

View More On Wikipedia.org
  1. Mohamed Said

    Kauliza muulizaji kwanini majina ya Waasisi wa African Association hayapo katika historia ya TANU

    KAULIZA MUULIZAJI: ‘’KWA NINI MAJINA YA WAASISI WA TANU 1954 YAPO KATIKA HISTORIA YA UHURU WA TANGANYIKA LAKINI WAASISI WA AFRICAN ASSOCIATION 1929 HAYAONEKANI POPOTE?’’ Kijana alichonitafutia ni historia ya Muungano wa Tanzania mwaka wa 1964. Akanifahamisha kuwa amesoma kitabu cha historia ya...
  2. Mohamed Said

    Mhando wawili katika historia ya TANU: Steven na Peter Mhando nani kapata kuwasikia wakitajwa popote?

    KITABU KIPYA: WATU MASHUHURI KATIKA UHURU WA TANGANYIKA - SALUM MPUNGA, YUSUF CHEMBERA NA PETER MHANDO KITABU CHA PILI TANU ilikuwa na historia ya pekee sana ambayo bado inahitaji kufanyiwa utafiti. TANU ilikuwa na ndugu wote wanachama, TANU ilikuwa na marafiki wote wanaTANU na kadhalika na...
  3. Mohamed Said

    Inawezekana vipi Historia ya TANU na Kitabu cha Mwalimu Nyerere viandikwe bila kumtaja Iddi Faiz Mafungo?

    Naamini bila ya chembe ya wasiwasi kuwa kwa sasa historia ya Iddi Faiz Mafungo inafahamika na wengi. Iddi Faiz Mafongo Mweka Hazina wa TANU na Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika aliyesimamia ukusanyaji wa fedha za safari ya kwanza ya Mwalimu Nyerere UNO mwaka wa 1955 na mmoja wa watu...
  4. Mohamed Said

    Historia ya TANU siku zote imeandikwa na makosa

    ''Mwalimu Nyerere na Historia'' (1980) Kitabu cha Prof. G.A. Mhina Kitabu hiki nimekuwancho kwa miaka mingi sana. Lakini kwa kuwa ni kitabu cha picha nilikisoma mara moja tu katika miaka ya 1980 na kikabakia Maktaba. Sikukigusa tena. Jana nimeona picha za TANU katika mtandao na haraka...
  5. Mohamed Said

    Historia ya TANU Katika Picha Mbili 1955 na 1993

    HISTORIA KATIKA PICHA MBILI 1955 NA 1993 Picha hizo mbili hapo chini zimepishana miaka 38 kwa mkato na kifupi unaweza kusema zimepishana miongo minne yaani miaka 40. Picha ya kwanza ni mkutano kwa kwanza wa mwaka wa TANU Ukumbi wa Ghandhi, Hindu Mandal Dar es Salaam na picha ya pili ni kumbi...
Back
Top Bottom