Habari zenu, kuna fursa nimepata nzuri sana ila sina capita ya kutosha iko ivi.
Kuna jamaa anafanya kazi kampuni fulani ya mafuta ya kupikia, yaani kiwanda kipo nchi fulani kisha Tz kuna brach yao.
Jamaa ndo anahusika na oda zote zinatoka kwa kawateja, wao hawauzi dukani, ni watu wenye maduka...
Hisa ni sehemu ya umiliki katika kampuni. Kwa kumiliki hisa, mtu anakuwa mwekezaji katika kampuni na anapata haki za kifedha na kisera katika kampuni hiyo.
Kuwekeza katika soko la hisa kunatoa fursa kwa Watanzania kuwa sehemu ya umiliki wa makampuni na kupata faida kutokana na mafanikio yao...
Mtu mmoja mwenye hekima na busara aliwahi kusema there is a positive thing in every negative thing.
Mwaka 2011 nilienda kijijini kwao na mama yangu mzazi (Homboza karibu na Chanika)
Nilipanga kukaa kwa mwezi mzima.
Nikiwa huko mishe zangu nyingi nilikuwa nazifanyia Chanika center.
Nikiwa...
Habari;
Leo nimeona niwashirikishe watu fursa,Wakati nikielezea hii FURSA niweke angalizo kwamba "UKIITIWA FURSA UJUE WEWE NI FURSA" so kama hutaki kuwa fursa basi wewe hii fursa haitakufaa.Baada ya kutoa anagalizo basi niende moja kwa moja kwenye mada ya msingi.
Kama sehemu ya majukumu yangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.