Barrick Gold imesema madai ya Shirika la Haki za Binadamu kufukuza watu kwa lazima ili kupanua mgodi wa North Mara nchini Tanzania hayana ukweli.
MiningWatch Canada yenye makao yake makuu Ottawa inasisitiza kuwa maelfu ya Wakurya wa Asili walifukuzwa kutoka kwenye makazi yao Desemba 2022, na...
Wakuu Leo nilikua nachezea chezea simu yangu kidogo nikakumbuka zile medali za Yanga kuwa za Shaba hapo moja kwa moja nikawaza dhahabu tulizojaaliwa NCHINI lakini ndo hivyo tena bila kombe dhahabu hauvai hata ukachovye kwa sonara lakini bado inabaki vile vile.
Hali hiyo ilinifanya nizame chimbo...
Trat na Trab walipambana sana na Makampuni ya Barrick na Accacia lakini kesi zao zili backfire na Serikali ya Tanzania ilishindwa kulingana na MIGA agreements
Mwigulu aache kigugumizi aongee ukweli, Huko Trat na Trab kesi za acacia na Barrick zilikuwepo lakini mambo yalienda kombo kwa serikali...
The role is responsible for set up and repair rigging for the movement of heavy equipment. As an Artisan Rigger you will be required to maintain equipment according to sound engineering practice and equipment specifications, as well as conducting any rigging task as might be required within any...
Wanabodi,
Hatimaye Tanzania sasa tunaanza kufaidi rasilimali zetu za madini, ambapo leo, donge nono la dola za Marekani milioni 100, zimelipwa kwenye kile kibubu chetu pale kwenye ule mfuko Mkuu wa hazina ya serikali kama advance payment ya kile kishika Uchumba cha dola milioni 300, ambacho...
Wakati akiongea na shirika la habari ya Uingereza liitwalo Reuters, Mkurugenzi wa Kampuni ya Barrick Gold, Mark Bristow amesema Makontena ya Makinikia yaliyozuiwa na serikali ya Tanzania Bandarini Dar es Salaam yana thamani ya Dola za Kimarekani milioni 280 ambapo ni sawa na takribani shilingi...
Kwanini wananchi wanasahaulishwa kwa hii ahadi?
Hata serikali ilisema tu kwasababu Barrick ilibidi waambie wamiliki wa share zao wazi. Sasa hizi pesa ni siri kwanini? Zinatumika kufanya nini?.
Inaelekea zitaenda kwenye chaguzi! Maana haziko kwenye budget yoyote.
Mimi nina wasiwasi na huu...
Waziri wa Mambo ya Nje, Prof Palamagamba Kabudi ametangaza leo kuwa Serikali kwa kushirikiana na Barrick Gold Corporation wameunda kampuni ya ubia inayoitwa Twiga Minerals Corporation.
Katika kampuni hiyo Serikali ina hisa asilimia 16 na Barrick asilimia 84.
======
Baada ya mgogoro uliodumu...
The new Barrick Gold Corp is considering options for its stake in Acacia Mining PLC including possible sale, as Barrick works to end a nearly two-year-long tax dispute in Tanzania that has effectively shuttered operations there, Chief Executive Officer Mark Bristow said on Wednesday.
The new...
By Samantha Cole of Tanzania Business Ethics
Almost 1 in 5 of the biggest UK companies paid NOTHING last year and 5 companies even got a handout back from the taxman!
We, in Tanzania, already learnt our lessons the hard way with Barrick Gold and Acacia Mining who succeeded for many years to...
By Samantha Cole of Tanzania Business Ethics
Barrick Gold loses their Appeal in the Australia Supreme Court.
No surprise that the Judges found Barrick “inappropriate” and “not reliable” in their methods. When will someone be accountable?
Last week, in Australia, following THREE lost appeals...
A PUBLIC LETTER TO THE HON. PRESIDENT OF TANZANIA, MINISTER OF JUSTICE, ATTORNEY GENERAL AND OTHERS
Hon. President John P. Magufuli, Prof Palamagamba Kabudi and Dr Adelardus Kilangi
Copies to:
Board members of Barrick Gold & Acacia Mining;
Chief Secretary, Amb. JWH Kijazi;
Minister of...
Report in The Citizen By Beldina Nyakeke
The Acacia North Mara Goldmine acting general manager has called for peace and harmony between the mine and the host community. Currently, the mine is surrounded by a wall that separates the firm from the host community.
Acacia mining is advocating for...
An open letter to His Excellency, President John P. Magufuli, President of Tanzania
WATER, WATER EVERYWHERE - BUT NO WATER FOR THE RESIDENTS OF TARIME, TANZANIA?
In our Holy Bible: Ecclesiastes 1:9
That which has been, is that which will be, And that which has been done, is that which will be...
BARRICK GOLD SHARES
July 2016 - around US$ 22.30
August 2018. - around US$ 09.80
ACACIA MINING SHARES
August 2016 - around GB£ 600.00
August 2018 - around GB£ 109.00
We are NOT happy about this because it is is in our interests for these companies to be successful...
Anaandika Lissu:
Tofauti kati yangu mimi na wewe na Magufuli ni hii: Mimi nimepigania nchi yangu katika masuala haya tangu mwaka '99.
Wakati huo tulikuwa na mgodi mmoja tu wa dhahabu, Resolute Golden Pride Nzega. Bulyanhulu ilikuwa haijajengwa. Geita ndio kwanza walikuwa wanafukuza wanakijiji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.