Habari wana JF,
Karibuni nataraji kujiunga na diploma ya computer science,nimelazimika kusoma diploma kutokana na majukumu yangu kwa sasa japokuwa form four nilifaulu vizuri tu namshukuru mola.
Swali langu ni kuwa, je naweza kufanya mtihani wa ACSEE kwa baadae kama private candidate sawa...
Kwa wale waliohitimu na waliopo masomoni(ACSEE) . Nahitaji
*experience s za waliofanya mock (advance) kwenye exam room kanda zote mfano EZEB ..n.k
*Na hivi ni kweli inakua ni migumu(Mkoa wa Dar es Salaam)🤔
Wako mpendwa MSONGOKAJI💪🏼
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.