Habari wanajanvi,napenda sana gari hizi mbili,ila naomba kujua uimara na confotability yake unapokua barabarani pamoja na fujo za apa na pale,napenda mbio sana ila naomba nianzie na hiki,moja ya kuzipenda ni pamoja na upatikanaji wake wa spare,fuel consuption n.k,,
Nawakilisha
Nawakilisha