Haki ya Mungu kama HESLB hamtakuwa wazi na kusema kama kuna kitu kinachoitwa SECOND BATCH, mtasababisha mauaji mitaani. nina imani na hakika kwamba huyu mnayemwita TAPELI ametumia mwanya wa SECOND BATCH kujipatia mamilioni ya wanafunzi walioomba mikopo wakakosa na hata kile kidogo walicho nacho...
mnalalamika nini ndugu zangu? unatangaza kuwa una kuku 100 ambao hawajaanguliwa kumbe mayai yenyewe viza, waacheni wafanye kazi zao muda ukifika tutajua kama tuna kuku au la, tusipotoshane kwa vyanzo hewa na kusabishiana matatizo, ona sasa mdogo wangu Perry tangu juzi hajala kisa HESLB, leo...
haya wale Watakatifu wa Yohana wote mliochaguliwa ingieni kwenye website mpate orodha nzima na maelekezo yote muhimu, shime mjiandae tar. 8 october tukaanze kula kitabu.
HONGERENI SANA.:flypig:
upi ni ukweli kuhusu TCU jamani? nimeangalia zaid ya applicants 12 profiles zao ziko marked NOT YET PROCESSED sasa nielewe lipi ndugu zangu nisaidieni tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.