Usiwe na wasiwasi (hasa kama jina lako halimo katika ile list ya waliokosa). Kuna watu nawafahamu wamechaguliwa UDOM, kwa mfano lakini profiles zao mpaka sasa zinaonesha "Not yet processed".jamani mbona wengine profiles zetu ziko marked Not yet Processed? kuna nini?
Usiwe na wasiwasi (hasa kama jina lako halimo katika ile list ya waliokosa). Kuna watu nawafahamu wamechaguliwa UDOM, kwa mfano lakini profiles zao mpaka sasa zinaonesha "Not yet processes".
Kwa ujumla, TCU bado hawajajipanga ipasavyo. Sioni ni kwa nini katika uombaji wanataka mwombaji aweke postal address, email address, phone numbers kama vyote hivi wanashindwa kuvitumia ipasavyo katika kufanya mawasiliano na waombaji!
Usiwe na wasiwasi (hasa kama jina lako halimo katika ile list ya waliokosa). Kuna watu nawafahamu wamechaguliwa UDOM, kwa mfano lakini profiles zao mpaka sasa zinaonesha "Not yet processed".
Kwa ujumla, TCU bado hawajajipanga ipasavyo. Sioni ni kwa nini katika uombaji wanataka mwombaji aweke postal address, email address, phone numbers kama vyote hivi wanashindwa kuvitumia ipasavyo katika kufanya mawasiliano na waombaji!
asante mno maana nimeanza kupta wasiwasi, thanks in deedUsiwe na wasiwasi (hasa kama jina lako halimo katika ile list ya waliokosa). Kuna watu nawafahamu wamechaguliwa UDOM, kwa mfano lakini profiles zao mpaka sasa zinaonesha "Not yet processed".
Kwa ujumla, TCU bado hawajajipanga ipasavyo. Sioni ni kwa nini katika uombaji wanataka mwombaji aweke postal address, email address, phone numbers kama vyote hivi wanashindwa kuvitumia ipasavyo katika kufanya mawasiliano na waombaji!
ulifeli jomba...................