Samahan docter. Kunarafiki yangu alikutana na tatizo la kuto mwaga shahawa na uume kutokua na nguvu ambalo lilimnyima raha kiasi cha kukata tamaa na maisha.
Alieleza; yeye ni mvulana mwenye miaka 22. Siku moja alipanga kukutana na rafiki yake wa kike kwa mara ya kwanza walipofika walianza kama...
Wanajukwaa naomben msaada. Nina friend wangu ananisumbua. Yeye ali make aplication for second round na akaandikiwa adimited jordan university colege. Sasa akichek acount za watu wa first round kwa profile anaona kabisa kwamba your admited some where. There 4 anasema mbona kwake aiandik ivo?
Kwa wale ambao walikua na matatizo ya kuto atach picha ya mdhamini ambao majina yao yali be desplayed kwenye website ya bodi, ambao waliambiwa wazitume kwa njia ya ems na wakafanya hivyo, majina yao hayataonekana tena kwenye zile list mimi ni mmoja wapo na nimefanya hivyo na naona jina langu...
jaman naomben msaada mimi nilisoma HGE na nili fell bam o and a lavel af wakanichagulia bach. science in agricultural economica and agrobisness SUA vip kwanai hii mambo ina mahesabu sana?
mbona mnakua kama kenge maji? BODI wanasubir wale waliokosea form zao ambao walipewa fursa ya kuziapdate wamalize kwanza af ndo watoe kwa pamoja kwani wewe unataka wakutoe wewe peke yako? nakama sio bas subir.
kwa mnao soma sua au pengine mnaoifahamu hii fuclt ya bach. sciens in agricultural and agroeconomics vip naski
a mziki mnene au mnasemaje? pia isn it mrketable. tujiandae kuja kusoma vt gan?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.