Search results

  1. tereweni

    Mikopo ya bank za kibiashara aliyokuwa anakopa Magufuli machungu yake ndio yanaonekana sasa

    Sioni kama ni sawa kumtupia lawama Hayati kwa mwenendo wa mambo yalivyo hivi sasa. Magufuli alijitahidi mno kwa wakati wake kuhakikisha 1. Miundombinu inakaa sawa 2. Nidhamu ya watendaji serikalini inakuwa ya hali ya juu 3. Huduma muhimu i.e maji, umeme, Afya, Elimu, na chakula vinakuwa si...
  2. tereweni

    Madanguro yanayovunjwa na RC wa Dar ni kiduchu kwenye biashara moja kubwa sana

    Jambo kubwa, huanza na dogo. Asikate tamaa atayamaliza, ninyi mnao yajua sasa zaidi ya mwananyamala ni wakati wenu kutoa taarifa.
  3. tereweni

    Julius Malema anaongoza maandamano kuunga mkono ushoga na usagaji na kumpinga Rais Museveni

    You can not defend something without having an interest
  4. tereweni

    Nafikiria kuuza hati miliki ya maisha yangu ili nifurahiie maisha ningali hai

    Umaskini ni hatari, Na ndio maana, kila mmoja anapaswa kuukimbia na kupambana nao kwa kufanya kila linalowezekana kihalali. LAKINI SI KUUZA NAFSI ndugu, Wazo ilo ulilonalo jaribu kuliondoa and see the beauty of this life through hustling.
  5. tereweni

    Hivi kwanini mwendokasi huduma zinakuwa mbovu na wao ni monopoly?

    Mwendokasi kwa sasa umekua usafiri wa mateso ukilinganisha wakati unaanzishwa na madhumuni yake kiujumla. Umekokotoa vyema na umeshauri vizuri. Yafuatayo ni ya kuzingatia; 1. Waongeze idadi ya magari 2. Wafanye matengenezo ya magari yao 3. Madereva wao na viongozi wa vituo, wanachotakiwa...
  6. tereweni

    Comment ziwe fupi fupi

    Uchunguzi unaendelea [emoji849][emoji849][emoji849] Shubamit
  7. tereweni

    Huko Kenya moto si wa kitoto

    Ngoja tarehe 20
  8. tereweni

    Interview Rais Samia na Azam TV, azungumzia safari, Urais, Mikopo ya Miradi ya Magufuli, Ripoti ya CAG

    Ni kwasababu sisi raia , tunatafuta mlinganyo , huku tukishambulia kila anachokifanya Mama, tukisema hakikufanyika awamu iliyopita na maisha yalikuwa poa. Na kwakua Mama nae sio mkaa kimya sana, anaamua kuumwaga ukweli, ili tusikie , ingawa haisaidii.
  9. tereweni

    Januari Makamba: Tanzania hatuna uhaba wa mafuta, tumeshaagiza mengine ya Mei, Juni 2022

    Ifike wakati, viongozi wa kitaifa waache kuzungumza mambo yasio na tija kwenye jambo la msingi kama hili na linalo gharimu maisha ya wengi. Wajifunze/ waige nchi jirani kama Kenya na Rwanda jinsi walivyo manage suala la bei ya mafuta.
  10. tereweni

    I seek guidance please: Is Jesus 100% God or 100% Man?

    John 1:1- There you will find the answer who was him.
Back
Top Bottom