Hivi Wasichana wa Arusha wengi hawajitambui au ni ulimbukeni?

Habarini wana JFwenzangu,
I hope mko gud.

Moja kwa moja niende kwenye mada asilimia kubwa ya mademu wa chuga wanazingua kichizi wengi wao unakuta wanavuta bangi, kuchanja mirungi (veve) na madawa mengne ya kulevya, sasa demu unachanja ili iweje kwa mfano?

Madhara yake ndo tunapata wanawake wabovu kwenye jamii hawaezi kufanya chochote zaidi ya matumizi ya miadarati.

Hii nimeiona sana kwa mamamilo wa chuga hivi ni kwamba hawajitambui au ni ujinga tu umewajaa vichwani mwao? Sio mademu wa chuga tu ata mikoa mingine.

Mimi kwa mtazamo wangu naona kabsa wamekosa self awareness!

Waache ushambaa
Naomba kuwasilisha.
Utamaduni wa watu, usiwapangie. Kwani unadhani kila mtu anapenda wanawake wanaovaa madera? Kuongea kama cherhani? Kwenda kwa waganga? Vigodoro? Wewe ndio mshamba usiejua kuna kitu kinaitwa diversity. Arusha is just different. Deal with it.
 
Utamaduni wa watu, usiwapangie. Kwani unadhani kila mtu anapenda wanawake wanaovaa madera? Kuongea kama cherhani? Kwenda kwa waganga? Vigodoro? Wewe ndio mshamba usiejua kuna kitu kinaitwa diversity. Arusha is just different. Deal with it.
Kwahiyo madem kuvuta bangi na kuchanja veve ni utamaduni??
 
Kwani kutoa ushauri mpka uombwe?
mimi sio juha
Unathibitisha maneno yangu.

Unaweza kuona unatoa ushauri usioombwa, kumbe unakuwa highly offensive.

Kutojitambua kunafanya wengi wajipe umuhimu na cheo cha kutoa ushauri, wakati hawana lolote.
 
Habarini wana JFwenzangu,
I hope mko gud.

Moja kwa moja niende kwenye mada asilimia kubwa ya mademu wa chuga wanazingua kichizi wengi wao unakuta wanavuta bangi, kuchanja mirungi (veve) na madawa mengne ya kulevya, sasa demu unachanja ili iweje kwa mfano?

Madhara yake ndo tunapata wanawake wabovu kwenye jamii hawaezi kufanya chochote zaidi ya matumizi ya miadarati.

Hii nimeiona sana kwa mamamilo wa chuga hivi ni kwamba hawajitambui au ni ujinga tu umewajaa vichwani mwao? Sio mademu wa chuga tu ata mikoa mingine.

Mimi kwa mtazamo wangu naona kabsa wamekosa self awareness!

Waache ushambaa
Naomba kuwasilisha.
Mbona jumla jumla hujaweka wazi
 
Habarini wana JFwenzangu,
I hope mko gud.

Moja kwa moja niende kwenye mada asilimia kubwa ya mademu wa chuga wanazingua kichizi wengi wao unakuta wanavuta bangi, kuchanja mirungi (veve) na madawa mengne ya kulevya, sasa demu unachanja ili iweje kwa mfano?

Madhara yake ndo tunapata wanawake wabovu kwenye jamii hawaezi kufanya chochote zaidi ya matumizi ya miadarati.

Hii nimeiona sana kwa mamamilo wa chuga hivi ni kwamba hawajitambui au ni ujinga tu umewajaa vichwani mwao? Sio mademu wa chuga tu ata mikoa mingine.

Mimi kwa mtazamo wangu naona kabsa wamekosa self awareness!

Waache ushambaa
Naomba kuwasilisha.
Kama mji mzima unanuka jani iwe bar, kwenye daladala, sokoni na mitaani unategemea hapo Kuna watu!
 
Back
Top Bottom