huu ni mfano wangu
kias cha mkopo-3547500
ada-1200000
field-600000
meals and accomodation-1837500..
Kwa kuwa unatakiwa ulipie 282500 kabla ya tar 30 sept,iko kias hatuta kihusisha kwenye hesab yetu..fanya hvi;
(mkopo-meal n ac)3547500-1837500 unapata 1710000..
1710000-field unapata...
wakubwa naomba mnieleweshe vizur..nimechaguliwa Bsc in information systems dodoma..sikuiomba lakin nimekubali kuisoma,naomba kwa anaeifaham,aniambie tu naweza kufanya kaz gan hapa kibongo bongo nikisha graduate?natanguliza shukran zangu
ivi jamani, nkishapiga hodi..af nikakaribishwa,niwaamkie au asalamaleykum,au gudevenin! Tuimbe kama bss.. WANA JF FUNGUA NJIAAA,KITOTO CHAANZA TAMBAA..im new
jaman ni nan anaijua vizur automobile engneering aniambie ukishaisoma unaweza fanya kazi gani? Ina maslahi? Unasoma nini hasa? Ni hayo tu, nielimisheni
habari zenu.. Kutokana na mchecheto nloingia nlipoingia account yangu tcu baada ya kua not admitted, nlijaza bach.sci.in automobile engneering ya N.I.T.. Nkaambiwa nko admitted bada ya hapo..sasa leo nltaka nchange ikanigoma,coz npo admittd..sas ka unaijua hyo courz tell me naweza kuwa nan...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.