charm_chiddy
Member
- Aug 12, 2012
- 33
- 3
huu ni mfano wangu
kias cha mkopo-3547500
ada-1200000
field-600000
meals and accomodation-1837500..
Kwa kuwa unatakiwa ulipie 282500 kabla ya tar 30 sept,iko kias hatuta kihusisha kwenye hesab yetu..fanya hvi;
(mkopo-meal n ac)3547500-1837500 unapata 1710000..
1710000-field unapata 1110000..
1110000-275000(ya book allowance and etc) unapata 835000..
Now kujua percent..tek hko kias cha mwisho/ada times 100..like this
(835000/1200000) unapata 0.696..
Then 0.696 times 100 unapata 69.6 percent..which is approximately equal to 70..so mi nna 70 guys..2mien vichwa vyenu,njia ndo hyo apo!!all the best.(X-PCM GUY)
kias cha mkopo-3547500
ada-1200000
field-600000
meals and accomodation-1837500..
Kwa kuwa unatakiwa ulipie 282500 kabla ya tar 30 sept,iko kias hatuta kihusisha kwenye hesab yetu..fanya hvi;
(mkopo-meal n ac)3547500-1837500 unapata 1710000..
1710000-field unapata 1110000..
1110000-275000(ya book allowance and etc) unapata 835000..
Now kujua percent..tek hko kias cha mwisho/ada times 100..like this
(835000/1200000) unapata 0.696..
Then 0.696 times 100 unapata 69.6 percent..which is approximately equal to 70..so mi nna 70 guys..2mien vichwa vyenu,njia ndo hyo apo!!all the best.(X-PCM GUY)