stella manyanya ni mwanasiasa anayeheshimika sana. kauli yake ya jana kuwa Dk, ulimboka amejiepusha na kuwa hitler ni sahihi au imemvunjia heshima mbele ya jamii?
mimi nawakubali sana chadema kwa sababu mara nyingi wanakuwa na hoja zenye mashiko. lakini hili la Mnyika alivyomtuhumu mwingulu nchemba kuhusika katika kashfa ya epa atakuwa na uthibitisho?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.