nunge boya
Member
- Jul 3, 2012
- 6
- 1
mimi nawakubali sana chadema kwa sababu mara nyingi wanakuwa na hoja zenye mashiko. lakini hili la Mnyika alivyomtuhumu mwingulu nchemba kuhusika katika kashfa ya epa atakuwa na uthibitisho?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ala!! ... kumbe kweli eeh?Siasa za Angaisha bw.eg.e zitawakomaza mishipa bureee,wanajuana hawa wanachofanya ni zuga tu pigen kaza kuufurusha umaskin,Siku anafumaniwa Simbachawene,wabunge wote wa cdm walokuwa pale hotelin walikuwa wanapombeka hotelin kwa Hisani Simabchawene tena wamekiri wenyewe kuwa walipewa Ofa je waliuliza chanzo cha mapato kabla ya kufakamia KIlaji?.
Hii kali.Mtu anayepewa ofa kuanza kumhoji mtoa pesa eti wewe hela hizi umepataje?wanamjua kabisa ni mbunge na ni naibu waziri ss jaman s kituko.hela ufisadi kama ni ndogo kama hiyo yaofa yaani naamin hata haitofika laki madhara uake kwa taifa yasingekuwa makubwa.Siasa za Angaisha bw.eg.e zitawakomaza mishipa bureee,wanajuana hawa wanachofanya ni zuga tu pigen kaza kuufurusha umaskin,Siku anafumaniwa Simbachawene,wabunge wote wa cdm walokuwa pale hotelin walikuwa wanapombeka hotelin kwa Hisani Simabchawene tena wamekiri wenyewe kuwa walipewa Ofa je waliuliza chanzo cha mapato kabla ya kufakamia KIlaji?.
mimi nawakubali sana chadema kwa sababu mara nyingi wanakuwa na hoja zenye mashiko. lakini hili la Mnyika alivyomtuhumu mwingulu nchemba kuhusika katika kashfa ya epa atakuwa na uthibitisho?
==========================================Wakati wa Lema watu walisema hivyo hivyo, baada ya ushaidi kupokelewa, spika aliukalia hadi leo!!!!!!!!!!!!!! Mh. Mnyika hata akiwa na huo ushahidi siyo lazima kuukabidhi, bali akahoji ni lini SHAHIDI zilizotanguliua kama hii ya kwake zitawekwa wazi.mimi nawakubali sana chadema kwa sababu mara nyingi wanakuwa na hoja zenye mashiko. lakini hili la Mnyika alivyomtuhumu mwingulu nchemba kuhusika katika kashfa ya epa atakuwa na uthibitisho?
mimi nawakubali sana chadema kwa sababu mara nyingi wanakuwa na hoja zenye mashiko. lakini hili la Mnyika alivyomtuhumu mwingulu nchemba kuhusika katika kashfa ya epa atakuwa na uthibitisho?
huyu mnyika tutamdharau muda si mrefu