The secretary
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 4,149
- 2,536
Nyie order please! Tangu jana mnadiskas CHUPI wakati wagonjwa wanakufa kwa mgomo.
na we nawe subiri watatibiwa dr.MziziMkavu yupo njiani
Nyie order please! Tangu jana mnadiskas CHUPI wakati wagonjwa wanakufa kwa mgomo.
nijikute tu! zinavyotoa uvundo hivyo
Nakwambia! Kidogo nivunje mguu kwa kukimbia kuja kuona umeongea nini huku kaka mkubwa!!
Inawezekana ikawa hivyo? Sijamhisi huyu mdada hata siku moja kama ana tabia hizo. Ni dada ambaye kikazi yuko makini wala hana mwekeo kama ana tabia za kihuni
Haa haaa unanikumbusha Mgombea moja miaka ya nyuma wakati wa mkutano wa hadhara alitoa handkerchief ajifute jasho, kumbe ametoa chupi ya nyumba ndogo aliyo confuse kuweka mfukoni akidhani ni leso au kwa sababu nyingine.