Yuko wapi TIDO mhando jamani, TBC inakufa maana sijui ni nani huwa anaandaa vipindi kwenye chombo hiki cha habari,
Sasa hivi vipindi ni vibaya havina hata mvuto kuangali, Taarifa ya habari ndo haileweki,Picha inachelewa ku desplay mpaka huwa namuonea huruma mtangazaji,.
ni kipindi kimoja tu...
Madaktari bingwa wasema nchi nzima hakuna CT-Scan, Jamani what is going on in this country.
Hivi napenda kuuliza waliosababisha kukosekana kwa huu mtambo ni CHADEMA?, au magamba wenyewe.
Nakelwa jamani na cccccmuuu, yao
Jamani mi nakelwa na huyu mtu anaeitwa MWIGULU MNCHEMBA, Huyu jamaa ni kabila gani kwani?
Ananikela jamani, Kwanini anajidai namna hii huyu jamaa yupo tayali kuwatukana wezake bila hata kujali wala kukemewa
Hivi huyu jamaa akiwa prof, itakuwaje ana shahada tu hapo ni taabu hatuna raha,Kusema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.