Nimenunua hii simu mwaka jana mwezi wa tisa
Mwaka huu mwezi wa pili simu imezima tu screen ghafla, haijadondoka,haijakwaruzika hata screen
Imetumwa samsung Dar wanasema ni FAULT which means sina mchango kwenye kuharibika kwa hiyo screen
Kikombe kiko kwa wakala wao niliponunua Arusha (mhindi...
Duka linapatikana njiro 88 pick n pay
Baada ya crdb
Room no 8
Nguo nzuri za kike ziko kwenye punguzo
Suruali za vitambaa 10000 ukipata kuanzia 5 @8000
Magauni 10000
Skirt 10000
Jeans 8000
Instagram:Divineclothingstore_arusha
0762 998333
Napatikana njiro 88 pick n pay
Room no 8
Arusha
Nauza nguo za mtumba za Watu wazima
Suruali za ofisi 10000
Ukipata kuanzia 5 bei8000
Magauni 10000
Skirt 10000
0762 998333
Habari zenu,
Nataka kuagiza gari naona hata hao makampuni ya kuagiza wanacwanachukua picha za beforwad na Japanese autocom.
Sasa si heri ninunue tu huko beforwad au autocom!
Ushauri wenu experts na experience zenu zitanisaidia
Kwa kweli ni ngumu mno sijui haya mapenzi kwa nn yalikuepo
Loh!!!!
Wanaume mtuhurumie jamani
Yaani babe hakuwepo kwa week sasa karudi jana na love bite shingoni
Duh!!!nikashindwa hata kuuliza nimebaki tu nahema kama nimepanda mlima
Hivi ikikukuta wewe utafanyaje!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.