ukweli ni kwamba ni lazima viongozi wa bongo msome alama za nyakati,pia watofautishe ishu za wasomi na chingaz.wanacheza na madocta kama watoto wadogo wakati madocta wanawatega kwa kamba ya mgomba nao wanakamatika.ningekuwa mimi kova ningerudi studio kama alivyosema kamanda sugu au...
ukweli ni kwamba ni lazima viongozi wa bongo msome alama za nyakati,pia watofautishe ishu za wasomi na chingaz.wanacheza na madocta kama watoto wadogo wakati madocta wanawatega kwa kamba aya mgomba nao wanakamatika.ningekuwa mimi kova ningerudi studio kama alivyosema kamanda sugu au...
MIMI NASHANGAA SANA WATU WANAPOTEZA MUDA WAO KUTAKA KUMUUA MTU AMBAYE NYUMA YAKE WAKO WATU KAMA MILIONI KADHAA KAMA YEYE.JE WANATAKA KUWATISHA WATANZANIA TUSIDAI HAKI ZETU?FINE.NINACHOTAKA KUWAAMBIA HAO WAHUSIKA WAKIWEZA KUNYAMAZISHA WATU 'HATA MAWE YATAONGEA.ee MWENYEZI MUNGU MPE NGUVU ULIMBOKA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.