Tatizo mzee kova anashindwa kutofautisha watanzania wa 1920 na 2012.

gilguy

Member
Jun 20, 2012
22
4
ukweli ni kwamba ni lazima viongozi wa bongo msome alama za nyakati,pia watofautishe ishu za wasomi na chingaz.wanacheza na madocta kama watoto wadogo wakati madocta wanawatega kwa kamba ya mgomba nao wanakamatika.ningekuwa mimi kova ningerudi studio kama alivyosema kamanda sugu au ningejinyonga au kuachia ngazi.
 
ukweli ni kwamba ni lazima viongozi wa bongo msome alama za nyakati,pia watofautishe ishu za wasomi na chingaz.wanacheza na madocta kama watoto wadogo wakati madocta wanawatega kwa kamba ya mgomba nao wanakamatika.ningekuwa mimi kova ningerudi studio kama alivyosema kamanda sugu au ningejinyonga au kuachia ngazi.

Anajua sana tofauti ni hicho kiburi tu cha jeuri ya vyomba vya ukandamizaji. Anajua sana, ila laana anazivaa yeye kwa wanaomtuma. Aachie ngazi aje kula kwako? Anajua kuwa anawaonea wanyonge lakini katumwa na CCM wanaompa kula na kwenda chooni yeye na watoto wake na mke wake labda na ukoo mzima!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom