Namshauri Prof.Lipumba aachane na siasa arudi kwenye proffessional yake akitafuta kazi hawezi kosa nchi nyingi duniani zinataka watu wa aina hii ambao sisi watanzania tunawaona kama hawana mchango wowote katika nch i yetu.Una challenge capability ya Prof.Lipumba!!! kuna watu na viatu...
Meli kukosa ofisi!!!! hapa ni kuangushiana na magari tu hamna tena cha kulindana.Wasusika wasipoangushiwa gari(kuwajibishwa) serikali hamtaeleweka kwetu sisi walala hoi.KOVA,MSANGI mpo, scandles za kujitakia hizi hebu ngoja tupime hekima zenu katika hili
Ndiyo maana ukimsikia mtu kama Nyerere akiongelea maadui anaongelea umaskini, magonjwa na ujinga. Wengine wanakwambia maadui watakimbilia Kenya
Maneno hayo hapo juu yanaonyesha aina ya kiongozi mwenye busara na sio kisasi,mtu akikuchallenge unamuita adui, utakuwa na maadui wangapi ,sidhani kama...
Nadhani Watanzania wenye mtizamo huu tunatafsiri kimakosa misemo toka kwenye maandiko matakatifu na methali mbalimbali , mfano aliyenacho ata........na asiyenacho......,Maji hufuata mkondo n,k.Pamoja na kwamba uzoefu wa wastaafu wetu tunauhitaji, naomba iwe inapobidi na sio kubadilisha madaraka...
Ni jambo la ajabu mpaka leo hii hatuwezi kutoa idadi kamili ya abiria wanapokuwa safarini kwenye vyombo vyetu vya usafiri.Tunahitaji kuangalia kwa hekima jambo hili hasa wamilki wa vyombo vya usafiri pamoja waliopewa dhamana ya kusimamia vyombo hivi waelewe masihara au uzembe juu ya suala hili...
Kumekuwa na wimbi kubwa la kuwalazimisha watu kuajiriwa kwa kinyume na baadhi ya haki za binadamu. Kwa mfano mtu anaitwa kwenye interview halafu huko.
Nadhani unatakiwa huu uwe wakati wa interiew zichunguzwe kama zinakidhi masharti ya kisheria hapa nchini. Kwamba interview inapofanyika basi...
Ni jambo jema sana kwa wataalamu wetu wanapokuwa wanaweka msisitizo juu ya kupanda miti ili kupunguza kasi ya uharibifu wa Misitu unaofanyika hapa nchini hasa kwenye Misitu yetu ya asili.Lakini msisistizo huu unakosa nguvu pale wataalamu wetu hawa wanaposisitza tupande miti ya aina mbalimbali...
Kova hana makosa ila yeye anatumika kama rubber stamp tu.Ulisha ona wapi mtu akabishana na Tv set yake !! anawekewa maneno mdomoni ya kusema, simply kuna mtu ana remote control inayomuongoza kamanda wenu kufanya maamuzi.Waweza kuta ana Elimu nzuri tu ya kawaida kulingana na wakati wake ,lakini...
For God's sake Tanzania hatujawa tayari katika kilimo kwanza.!Pye pyepye tuna nyingi mno, sera ya kilimo kwanza haizingatii kumwendeleza mwananchi wa kawaida bali mwenye uwezo, pia suala la kuhamasisha vijana washiriki kwenye kilimo kwanza ndo basi tena yaani serikali haina mpangop nao hata...
Watanzania wa leo si kama wa miaka ishirini iliyopita.Hii ni janja ya nyani kula hindi bichi.Serikali inatumia kila njia ili ku-legitimise the illegitimate.Kwa kuwa mmeshika mpini semeni vyovyote vile mtakavyo sisi wananchi ni mambumbumbu tutakubali tu!!
Napata shida sana kutafakari jambo hili:Awali nilifikiri ubunge ni uwakilishi wa wananchi Bungeni, lakini sasa mbona waheshimiwa hawa wengi wao hawaonekani majimboni mwao saa ngapi wanapata hizi changamoto za majimboni mwao ili wakawasemee walalahoi hawa mjengoni? Halafu nikaona ubunge kama...
Napata shida sana kutafakari jambo hili:Awali nilifikiri ubunge ni uwakilishi wa wananchi Bungeni, lakini sasa mbona waheshimiwa hawa wengi wao hawaonekani majimboni mwao saa ngapi wanapata hizi changamoto za majimboni mwao ili wakawasemee walalahoi hawa mjengoni? Halafu nikaona ubunge kama...
Oooh! This is simple:Neno Tanzania ni matokeo ya Tanganyika na Zanzibar.Na kwakuwa Zanzibar inawimbo wake wa Taifa je vivyo hivyo Kwanini Tanganyika wasiwe na wimbo wao?.U can not full all the people all the time.Kwani kuna dhambi kama Tanganyika ikirudi, irudisheni kama itaonekana ni dhambi...
Kuwa biased? Mbona hili liko wazi, tena kuna kitu kinaitwa 'kipima joto' ambacho kinaendeshwa sio kitaalam ,mfano unatupatia asilimia ya matokeo bila kutuambia idadi ya watu waliopigia kura hoja hiyo. Statistically kuna idadi inayotakiwa kufikiwa ili matokeo yawe yanawakilisha jamii...
Nafikiri kuna haja kulitizama upya suala la siasa hasa kwa watunga sera na watoa maamuzi wetu.Kuna kila sababu ya kuweka kigezo cha mafunzo ya elimu ya 'POLITICAL SCIENCE' angalau kwa mwezi mmoja kuwa compulsory kwa mbunge yeyote kila baada ya uchaguzi.Labda hii inaweza ikaleta tija kwa...
Ni jambo la kusikitisha katika karne hii ya 21 kuona kijiji bado hakina shule ya msingi,wanafunzi bado wanasafiri kilomita 8 kwenda shule za msingi za vijiji vya jirani(NAMALAMA,MWITENDE).hebu fikiria siku waalimu(shule za jirani) wakiwakatalia kuwapa admission, wataenda wakapate wapi elimu hawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.