Siku moja, baba tajirialienda na mtoto wake safari. Alitaka kumuonyesha ni jinsi gani mtu anawezakuwa masikini sana wa mali. Walifikia shamba moja la familia ya kimasikini. Safarinikurudi nyumbani, baba akamuuliza kijana wake, "Umeona ni jinsi gani walivyomasikini? Umejifunza kitu gani?".
Kijana...
Siku moja, baba tajiri alienda na mtoto wake safari kijijini. Alitaka kumuonyesha ni jinsi gani mtu anaweza kuwa masikini sana wa mali. Walifikia shamba moja la familia ya kimasikini. Safarini kurudi nyumbani mjini, baba akamuuliza kijana wake, "Umeona ni jinsi gani walivyomasikini? Umejifunza...
The Pastors Tel. number is (+221 771-479-538), huyo ndio jambazi mkubwa,kwanini asimsaidie kutoa hizo hela,eti I like honest and understanding people, truthful and a man of vision, hardworking and GOD fearing people.
kwanini asianze kuamini hao awaonao kwa macho???yaleyale natafuta mchumba...
Habarini wadau...Daah nimejikuta moyo wangu mzito sana asubuhi ya leo
1.Wasiwasi unaoletwa na maisha haya ya kila siku .Mume hatulii,malezi ya watoto mabek tatu hawaeleweki,migogoro ya ndoa namikasa inayokuta watu kila kukicha..
Haya yote yananinyima raha,natamani kila mwanamama afikie wakati...
Mhhh unamkuta mtu wako na pkt ya zana 3pc ila 1 imemis unamuuliza hii kitu kwenye gari inafanya nini?anajiumauma...unaanza kugomba kuwa majuzi tuu umeniambia kuwa hutodanganya tena utakuwa baba mzuri kwa mtoto wetu na utakuwa mwaminifu kwangu..kumbe ni uongo tuuu...
Yy kimya....unademand upate...
Mtz kaaah pole mbona huo ni udi nimejifukiza sio perfume basi kesho sijifukizii tena looo watu mna gubu ndo unakuja hadi huku si ungeniambia tu kimyakimya?
MSATULAMBALI...Mi nakupenda sana ujue tangu nikuone kwa kakaako sema tu niliogopa kwakuwa sa hizi yupo job please say yes to me ...mi kaka ko hata hajawahi niona so shaka ondoa...yaaan nakupenda hadi nahisi kudata pls dont say no...im half cast..i will pay for the hotel room
Elisha Ray :so far i believe every creature it starts frmheaven so do you.... thanks nwy
Ahhhgrrrrrr...sasa Mc Tilly Chizenga....alimchukulia kuwaalimuuliwa au alimmegea tu ?ila nasisi tumepata faida ya kujua siri zao pengineilipangwa tuu iwe hivyo
Tuko taratibu nimtishie nani wakubwa wazima humu ?kwanza watamuweza mume wangu sa hizi yuko zake huko anavua samaki wake ukimuona unadhani utamtamani hiyo kurudi yenyewe shombo tupu anakuja ogea nyumbani nimfaidi mwenyeweee lol habari ndio hiyo
NATA;kikweli ni rafiki yangu ila mambo kama hayo sipendi best na hata akipona nitamwambia lol we unataka mi nikawe kuni kwa matendo yake akuuuu kayataka mwenyewe mi nilimkataza hakuniskia na hata wewe Nata usidhani ni marafiki wote wanaokuchekea usoni moyoni wanafurahia baadhi ya matendo yako lol
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.