Selling Price = Direct Cost + Indirect Cost + Profit margin
1. Direct Cost zipo wazi zinajulikana kilahisi
2. Indirect cost (overhead costs) hapa ndio mtihani
3. Profit margin hii inategemea na policy yako lakini pia aina ya bidhaa kama ina ushindani sokoni au la. Pia kama bidhaa yako ni...
Majengo marefu yaliyopo mjini yana thunderstorm arrester hivyo husaidia ku-nuetralize effect ya thunderstorm wakati vijiji hakuna hizo thunderstorm arrester ndio maana unaona matukio mengi ya radi yapo vijijini.
Nashukuru kwa kuutambua kuwa ni authorized mchepuko in short ni mke halali. Ukikaa mjini sana unaweza kufikiri kuwa hawezekani. Lakini ukitoka nje ya mjini ndio utakuta inawezekana sana tena huo mchepuko ndio utakuwa unasaidia bi mkubwa kupika, kuchota maji na huduma zingine na maisha yanasonga...
Kwa kitaalam ulichoelezea ulilenga Salt extraction by evaporation method.
Si kweli kwamba maji bahari pekee ndio yanatoa chumvi bali maji yeyote yenye madini ya chumvi
Si kweli kwamba maji huganda na kuwa chumvi bali evaporation inapo-take place maji hupungua na concetretion ya chumvi...
Afande, katika Mkoa wa Morogoro kuna tukio la Kutishia kuua kwa kutumia silaha-Bastola KWR/IR/412/2016*Tukio hilo LIMETOKEA Mnamo 15-10-2016 muda kama 16:30 hrs huko eneo la Mkambarani,,, barabara ya Morogoro-Dar es Salaam,Manispaa na mkoa wa Morogoro, mtu mmoja aitwaye EMMANUEL...
Kushusha au kupandisha bendera binafsi ni uamuzi wako tu ukitaka hata wakati wa kula shusha nusu mlingoti na ukienda chooni shusha kabisa ni wewe tu. kumbuka hiyo unayoiita kuwa bendera binafsi kwa wengine ni daso kama yalivyo madaso mengi tu hakina maana yeyote.
Moja ya sababu ni giza. Bendera ni ishara na alama ya uwepo wa ofisi na watendaji wa serikali. Shariti ionekane kwa mbali na bila kizuizi chochote. Hivyo basi kanuni za kupandisha bendera zinaeleza wazi kuwa lazima ipandishwe wakati wa mwanga ili iweze kuonekana vizuri.
Tena nakumbuka na kikauli chake kimoja alisema wakati fulani "AKIFA MWILI WAKE UZIKWE UTAWALA" wataalam wa mambo wakaamua kumzika palepale utawala kabla ya kifo chake tena na jeneza lilelile la HESLB.
Ni jeshi lipi unaloliongelea ? kuna jeshi la polisi linahusu kulinda usalama raia na mali zake, jeshi la wananchi, jeshi la magereza, jeshi la zimamoto, jeshi la uhamiaji. Ni lipi uliomaanisha? na je unajua taratibu za kushilikisha majeshi yetu kwenye majanga?
Mkuu pitia vizuri sheria za kazi zimetoa tafasiri nzuri maana ya utoro na masharti ya likizo ya ugonjwa sheria ipo wazi tu. na kama ulikataaliwa ruhusa ulifanya jitihada gani zingine au je uliripoti kwenye chama chochote cha wafanyakazi? na je ripoti ya hospitali ilikupa ED?
Mkuu ulichosema sio mila ya Wanyantuzu wa bariadi bali ni wanyamweli kutoka kahama. Alivyosema Ngabu ndio sahihi hii mila haipo Bariadi. Tumekulia huko temelelewa hivyo. Mwandishi upo sahihi kwa wasukuma wa Kahama na Kwimba lakini sio Bariadi. Nimekuja kishuhudia hii mila mara baada ya dada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.