Search results

  1. K

    Je BA International Relations inasoko katika ajira hapa Tanzania?

    Dogo njoo dom usome bed guco,bed sped, bed adec au bed ece na fahamuni ualimu s taaluma ya waliofeli
  2. K

    Halua inaliwa na nini?

    Halua mwenziwe ni kahawa
  3. K

    Nini maana ya Siasa?

    politics simply means who get what? when? why and how but the word politics is very difficult term to define
  4. K

    Wale wa udsm naona mutujuulishe kwa hili

    Naomba maelezo kwa wale wa udsm je wale waliokuwa washafika walochukua education kwa art subject je wamepata % 50 kama bodi walivyosema au wameongeza % ?
  5. K

    Naomba munisaidie mawazo wana udom na hata wa vyuo vyengine.

    Jaman naomba munisaidie mimi nimechaguliwa udom bachelor of education in special needs nimepatiwa mkopo sh mil 3 laki 2 alfu 27 na mia 5. Nimeshalipa direct cost lakin nimeshindwa kulipa kiwango cha fee kwa kuwa sijajua Asilimia ya mkopo ambayo nitalipiwa na bodi. Ada yangu kwa mwaka ni laki 7
  6. K

    Soma usanii wa UDOM

    Bangala kabisa
  7. K

    Jinsi ya kukokotoa kiasi cha fedha ya Mkopo kuwa %

    oya kijana hebu nisaidie mimi nina asilimia ngapi? nimepewa mil 3 laki 2 na 27 mia 5 fee yangu ni laki 7
  8. K

    ELEWA kuhusu HESLB.

    sijakufahamu
  9. K

    ELEWA kuhusu HESLB.

    Ebwana hebu nieleweshe kuhusu hii meal na accomodation ndo ile 7500 per day au hii ni kwa meal tu na accomodation huwa mbali?
  10. K

    Sifa za wanafunzi kulingana na vyuo

    Ahsante mkuu uko sahihi na nashangazwa sana kuitaja zanzibar. Hivi jamani kuna chuo kinaitwa zanzibar? Mtoa mada unavuta bangi chooni then unakuja kwenye jamvi kunanga vyuo. Pumbaf zako huna kazi kanywe kahawa
  11. K

    Hivi hii bachelor program ni ngumu sana hapo udsm?

    Sina ushahidi kamili na jibu langu but yawezekana mtihan uliwashinda wanafunzi au mwalimu husika kaamua kuwapatia izo failure kwasababu uwo mtindo nasikia vyuo vingi unatokea.
  12. K

    Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

    Na je watu huwa wanakwenda kugonga soka au ndo masomo yako tyti coz nisije chukua vifaa vya soka hali ya kuwa vitakaa kwenye begi
  13. K

    Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

    Ok makole na je vp kuhusu viwanja vya mpira, kipo kimoja kwa chuo kizima au kila college na uwanja wake coz sisi ni wachezaji mashuhuri na ili masomo yawe yanapanda lazima tuwe tunapata zoez la football
  14. K

    Bodi ya Mikopo (HELSB); Hii imekaaje?

    Ni true mkuu. You are great thinker. Very good
  15. K

    Those Days, Walituchukulia sana - Kisasi time!!!!

    Dah hoja yako ya kulipa kisasi inatoa tafsiri kubwa kiupande wangu. Ina maana wakati unajiunga hapo chuo lengo la mwanzo lilikuwa ni kupata warembo na la pili ndo kusoma. Me nilizani utalipiza kisasi labda aliwahi tokea kati ya hao mapedeshee kukuchania vifaa vyako vya masomo kumbe unalipiza...
  16. K

    HESLB toeni loan allocation

    Kichwa kinauma mpaka nashindwa kuhema
  17. K

    Bodi ya mikopo mwaka huu 2012/2013=msiba

    Bodi itatoa mkopo kwa zile kozi wanazohitaji na nazan kabla kutaka kuomba mkopo bodi ilishauri mtu aangalie priority na non priority. Na kuhusu swali na kuzaa ni bora mtu apange uzazi wake kulingana na kipato chake na si kutegemea kila mtoto ana riski yake. But kwa upande mwengine wapo pia...
  18. K

    Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

    Na kwenye tangazo lao wamesema wiki ya pili october watu wawe wameshafika. So ina maana kuanzia tarehe 8 mpaka 14 au ni vp? Na kwenye accomodation wameweka siku 245 kwa cost ya sh 122500 so ina maana cost hii ni kwa mwaka mzima wa masomo au ni vp coz siku 245 ni sawa na miez 8 kama sijakosea coz...
  19. K

    Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

    kwa iyo COED wajasi kama kawaida au na je kwa kila mlo hawa wajasi wana cost shiling ngapi?
Back
Top Bottom