wataalamu naomba kujua zaidi kuhusu gari aina ya carina si 1.8l
matatizo yake
garama za spare
uwezo wake
matumizi ya mafuta mjini na highway.
maelezo ya ziada...
Serikali ya china imeteketeza tani 6 za pembe za ndovu kuonyesha kuwa inapinga vikali biashara hiyo haramu duniani hatua hiyo imefuatia miezi miwili baada ya serikali ya marekani kuteketeza kiasi karibu sawa na hicho cha hazina yake ya pembe za ndovu,
china ndio nchi yenye hazina kubwa ya pembe...
Uwekezaji mkubwa siku zote ni jambo zuri lakini wakati mwingine yanapotokea mambo ambayo si sawa basi watanzania tunakila sababu ya kuzungumza na kuzuia uharibifu unaoweza kuleta madhara makubwa.
Zamani umwagiliaji wa kahawa uliendeshwa kwa njia ya umwagilia kwa kutumia maji ya mito na mifereji...
wanajf sikuhizi maeneo mbalimbali nchini viwanja vinauzwa si tena kama zamani unapata shamba, nusu heka etc, kiwanja hiki kinaukubwa wa mita 15 kwa mita 20, wataalamu wa ujenzi, niambieni hiki kinafaa kujenga nyumba ya familia, yani nyumba isiyo ghorofa yenye vyumba vitatu vya kulala.
mwazo...
Serikali ya China imeipa serikali ya Tanzania magari ya kifahari aina ya Limousine, magari madogo na mabasi yenye choo na chumba cha mikutano kwaa jili ya viongozi. Msaada huo thamani yake ni mabilioni ya shilingi.
Kwa wenye kutafakari mambo kwa kina huu ufadhili ni dhihaka kwa wananchi wa...
Serikali ya china imeipa serikali ya tanzania magari ya kifahari ya lemozin, magari madogo na mabasi yenye choo na chumba cha mikutano kwaa jili ya viongozi, msaada huo thamani yake ni mabilioni ya shilingi. Kwa wenye kutafakari mambo kwa kina huu ufadhili ni dhihaka kwa wananchi wa tanzania na...
Ni ukweli usiopingika kuwa vyombo vya habari na waandishi wake havikufanya kazi kuweza kusaidia na kufichua mateso waliyoyapata wenzetu, namaanisha watanzania wenzetu.Laiti vyombo hivi vingekuwa vinafanya kazi yao kama inavyopaswa basi leo hii taifa letu na uongozi uliopo madarakani...
Wakuu nimekuwa nikiipenda sana na kuitumia simu yangu katika mambo mengi ya proffesion yangu lakini sasa nahitaji kuupgrade... Nimejaribu imeshindikana na kuwahi kulock kabisa.
Wakuu mwenye msaada wa kujua vip naweza weka hata angalau ios 5 achilia mbali 6 Kwa sasa simu hii imeshindwa kukidhi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.