Msaada dem wangu anafangasi sana anawashwa na kujikuna mpaka anatoa uchafu wa njano kiasi kwamba tukitumia kinga wakati sex uchafu wote mweupe unaomtoka unapandaa juu ya condom msaaada atumie dawa gani kwa hospital kaenda kapewa dox kamaliza dozi hiyo hali imerudi tena.
jamani naombeni kuuliza mimi nipo nje ya dar saboufa aina ya sipiano kubwa ya spika 2 inayokalibia ile ya spika 4 ndefu ni sh ngapi nisaidieni mnaofaham hasa kwa dar
nikwamb siwalazimishi kuamini wala kutuma anaeamini atume na asie amini kimpango wake, kuhusu hela hivi kama mtu unaakili timamau utaombwaje hela na mtu haumjui eti akupe kazi na unatuma kwel si ujinga huo kuweni makini ndugu zangu badala ya kufikiri mnakuja kulaumiana hapa kwa taarifa yenu hizi...
ukiniuliza hilo swali siwezi kujibu tangazo hilo lilibandikwa kahama nadhan kama kuna mkazi wa kahama hum atakua shahidi karibia kila nguzo ya umeme nyumba za biashara kulikua na tangazo hilo, sijui kosa nikuwajulisha au kosa kuliweka hum sina taarifa zozote sababu niliona tangazo ni nikalileta...
wema wangu unaniponzaeee ndugu kama unajamaa unaemfaham muulize kuhusu hiyo email au kama kuna mtu anafanya tulawaka muulizie kuhusu hizi post atakuelewesha au kama unaweza njoo tulawaka uangalie kama hakuna post hizi siwezi kubishana na wewe na email hiyo ifatilie kama ni uongo utajulikana tu
wadau mgodi wa tulawaka wametangaza nafasi za kazi kama ifuatavyo
- operators (post 10)
- security (post 15)
- supervisor (post 7)
wenye vigezo kazi kwenu tumeni kwa email hii
applydar@barrick.com au mawasiliano zaidi 0766920604
mwisho wa kutuma maombi ni 30/6/2012
wakuu nimeshindwa...
jaman nimeulizia nimeambiwa mgoni unafunguliwa rasmi mwezi wa saba interview ni mwezi wa sita kwa watakaochaguliwa pia kaz rasmi wanaanza mwezi wa saba sasa hivi niwanafanya ujenz pia kama hauamin sio razima mkuu
jaman mimi nimelikuta limebandikwa kahama nikafanya kuchukua baadhi ya detail na kuziweka humu sikuweza kuzikalili zote pia nimeshindwa kulibandua na kuliscan lakin pia mnaweza kupiga simu mkamuuliza mhusika mm sijui lolote nimefanya msaada tu au nimekosea wakuu
TANGAZO LA KAZI
Kampuni ya CHIWACO INVESTMENT'S COMPANY LIMITED.
inatangaza nafas ya kaz katika mgodi mpya MASUMBWE BUKOMBE
1) Operators nafasi 14
2) Supervisors nafasi 17
3) Ofisi secretary nafasi 10
4) madereva wa magari nafasi 14
5) Walinzi nafasi 20
mwisho wa kutuma maombi ni tarehe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.