gari yangu ya kwanza ilikuwa IST 1490cc nikauza nimehamia kwenye PREMIO 1790cc gari ipo poa sana kitu ambacho nashangaa 1790cc iko na fuel efficient kuliko IST ya 1490cc najiuliza au kwasababu gari ni mpya bado
Habari !
Naitwa Nickson Kimambo naishi Morogoro mjini ni mtumiaji wa mtandao wa TIGO TANZANIA. no zangu ni 0717693927
Jana tarehe 26 december 2020 nilijiunga na kifurushi cha internet cha wiki kwa tsh 3000/- kwa njia ya tigo pesa, baada ya hapo nikaletewa sms kuwa kifurushi changu cha internet...
mtoa hoja baada ya huo utafiti wa awali pia ungefanya utafiti uone ni kwann wanakwepa kodi na ungekuja na suluhu nini kifanyike hapo ungesaidia sio kuja kutoa lawama tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.