Search results

  1. L

    Malezi ya DADA WA KAZI.

    Nna jirani yangu mwenye mtoto wa mwaka mmoja. Ye na mume wake wote wameajiriwa kwahiyo huwa wanamuacha mtoto na dada wa kazi. Kitu cha kwanza kunotice ni kwamba siku mmoja wao akiwepo nyumbani mtoto halii lii sana.Mpaka kuna wakati hua nadhani labda wametoka kwa ukimya kumbe wapo. Ila wakiwa...
  2. L

    Chumba cha kupanga kinahitajika Sinza/Makumbusho.

    Nahitaji chumba kimoja au hata viwili(chumba na sebule) vya self kwenye mitaa husika hapo juu. Naomba hata mwenye namba za dalali tu anisaidie maana nna shida kweli.
  3. L

    Mtu na nduguye - Inafaa?

    Haya ni maongezi(kimaandishi/chat) kati ya mtu na nduguye (anavyodai mwanaume). Mwanaume ameoa hata miezi mitatu haijapita ila binti ye hajaolewa. Kama mke wa mhusika naona walakini ila naomba kujua nyie wenzangu mnaonaje. Je ni maongezi ya kawaida kwa wanandugu?! Maana mwanaume utetezi wake ni...
  4. L

    Nifanyeje?

    Naombeni ushauri maana kwakweli nashindwa kujishauri kama nisuke au ninyoe. Miezi michache iliyopita(haifiki mitano) nilikutana na kaka mmoja sehemu yake ya kazi nikiwa napata huduma pale. Kutokana na kazi yake aligundua kwamba kuna kitu ningehitahi soon toka kwenye ofisi anazofanyia yeye...
  5. L

    Hodii

    Naomba kukaribishwa na mie.
Back
Top Bottom