Binafsi nimepitapita maeneo mbalimbali katika nchi hii nimekuta minara imejengwa katika maeneo ya shule,sasa nauliza shule hizo zinanufaika vipi na kodi hiyo ya minara maana shule ziko choka mbaya no body who care.
Mdau umuhimu wa kuanzia na madiwani ni mkubwa sana kwani katika halmashauri baraza la madiwani ndio wanaoandaa bajeti za halmashauri pia katika ripoti za CAG zimeonesha pesa zinaliwa/ibwa sana katika ngazi za halmashauri kutokana na umbumbumbu wa madiwani waliowengi,binafsi napendekeza madiwani...
Daah! Haya magamba mi yameshanichosha yanapiga pesa za wanainchi bila huruma kila siku skendo,kama wao wako hivyo mi nataka kufahamishwa mali za boss wao.
Watajuta kwanini wamempa rikizo maana kwangu hiyo ni rikizo,kufanya siasg si bungeni tu tena bungeni wanabanwa na kanuni lakin huku kitaa ni ful kujiachia naomba rikizo yake isiishe maana napata somo zaidi ya kuingia lecture.
Huyo jaji atende haki wala asiingiliwe katika maamuzi ili kumfurahisha mkubwa fulani kwani wanaweza kufikiri wanamkomoa kumbe wanamkomaza kisiasa na kumuongezea sifa pasi na sababu yoyote ya msingi.
Kubadilisha baraza la mawazili bila kuchunguza na kubadilisha mfumo mzima wa uendeshaji wa serikali yetu ni mabadiliko ya kinadharia tu,theory za wizi bado ziko palepale.
Hakuna mahakama kuu kama ya wanainchi acha wahukumu nasi tutawahukumu days are numbered,kama wanatenda haki polisi kutoka mikoa yote hiyo wa nini maji ya washawasha ya nini!tundu lissu tunamjua ni mwiba kwa serikali acha wafanye wanavyotaka but truth will remain there.
Mawaziri kama hawa washtakiwe kwa kesi ya uhujumu uchumi we waziri kijana mdogo miaka 40 umeingia serikalini juzi juzi tu uwe na nyumba yenye thaman kiasi hicho we ni mwizi tena jambazi kabisa.
We we we we lazima gwaride likaguliwe na rais wa jamhuri ya muungano ndo boss kwani ulishawahi kujiuliza kwa nini sherehe hizi hufanyika tanzania bara tu!
Binafsi sina shaka na wanaohamia chadema toka ccm kwa wameshaisoma katiba ya chadema na kuielewa pia dira ya chama kama wamekurupuka kuhamia chadema basi siku zao ndani ya chama zinahesabika kwani nawajua viongozi wa chadema ni watu makini sana chini ya uongozi wa mtu makini Dr wa ukweli sio wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.