Binafsi nimepitapita maeneo mbalimbali katika nchi hii nimekuta minara imejengwa katika maeneo ya shule,sasa nauliza shule hizo zinanufaika vipi na kodi hiyo ya minara maana shule ziko choka mbaya no body who care.
Binafsi nimepitapita maeneo mbalimbali katika nchi hii nimekuta minara imejengwa katika maeneo ya shule,sasa nauliza shule hizo zinanufaika vipi na kodi hiyo ya minara maana shule ziko choka mbaya no body who care.
mostly head master,second na mwl wa mradi ndo wanaozigawana,na sababu hizo mambo hazihusiki na sirikali kunakuaga hamna maswali mengi kuhusiana nalo. Nimeshaiona sana hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.