Huyu mburula ndio wamesha lewa na ile pombe ya amani bora kuliko haki, sasa watu wa mtwara wametambua amani bila haki ni sawa mboga bila chumvi
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Asilimia kubwa ya watanzania wanapumbazwa na Neno Amani, wanadhani Amani ni bora kuliko haki, na wanashindwa kuelewa Amani bila haki ni sawa na mboga bila chumvi. Tambua hii ni Dunia ya mungu upende usipende lazima atailinda dunia kupitia sisi kama wewe hautaki haki unataka amani peke yake basi...
Mimi naamini kuwa Tanzania si Dar Es Salaam peke yake, lazima serikali ipanue uchumi wa mikoa ya pembezoni, na rasilimali gesi itumike kwa manufaa ya taifa zima ikiwa palepale Mtwara, tujenge mtambo mkubwa wa kuzalisha umeme na kuunganisha na gridi ya taifa, tujenge viwanda vya mbolea na...
c) Kuhusu msimamo wa wananchi wa mikoa ya kusini wanaotaka gesi ilinufaishe Taifa ikiwa palepale Mtwara; Katika kutengeneza uchumi mpana wa nchi, mimi naamini katika uchumi shirikishi utakaoleta maendeleo shirikishi(Inclusive Development). Katika uchumi shirikishi, lazima rasilimali za nchi...
Matokeo ya nape hamkuyaona aliyaanika John mnyika, na chuo kasoma india vyo vya kichochoroni, so msishangae.
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Mnapumbazwa na wamarekani anaua yeye alafu nyinyi mnaoana wanaua alqaeda, alizusha kuna alqaeda afghanistan ni marekani kaenda kule kaanzisha vita watu wamekufa mnasema alqaeda, kaenda iraq kazusha kuna silaha za sumu kaenda kaua mnasema alqaeda, mtu muuza madawa ya kulevya kauwawa, mnasema...
Ushafahamu nini kama kuna favour maana unashauuuuku kutetea! Kila kitu kinajulikana bhana favour ipo baraza na matokeo yamechakachuliwa, ila kwa kuwa nguvu inatumika, na kujifanya wajanja basi na way, tuko kimya lakin tunaelewa!
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Hata mkisema mmeua hamtafanywa kitu si mmekamata mamlaka bhana, hata akifa muuza unga semeni waislam wameua simmekamata mamlaka bhana
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Huna akili wewe unamuabudu binaadam mwenzio, ilunga kichwa kile, wafanye haki na wasitumie nguvu kuhojiana nae waone, hakuna hata kimoja anachokiongea kuwa ni uongo, vyote kweli, kwa mujibu wa Qur'an na hadithi, kama hivyo waikamate Qur'an waifungie maana ndo iman inasema hivyo, na ana haki ya...
Kwa kweli ni swali la kujiuliza, why iwe Zanzibar ndio kuwe division zero nyingi? , na pia why iwe lindi mtwara zero nyingi? Na kwa nini iwe shule za kidini tena upande wa wa kristo ndo division 1 ziwe nyingi? Na kwa nini shule za kata ambazo wananchi wa kawaida division zero ziwe nyingi? Hapa...
Mi nauza kiwanja cha kujenga maeneo ya mbezi salasala, kinafaa kujengwa, sehemu nzuri, ya ukweli. Kama unania ya kununua nijibu then tutawasiliana ukaone ukipenda.
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.