Elineema J Mosi
JF-Expert Member
- May 17, 2013
- 808
- 148
Ndugu wana jf. Naomba kuwasihi kuacha mijadala kuhusu Gesi,kama Bunge linaarishwa basi n wazi hata mojadala inachangia kuhamasisha hvyo tuache mijadala hiyo. Serikali wao napendekeza warejee kauli ya " Baba wa taifa kuhusu Madini"