huku tukishuhudia harakati tofauti katika mataifa ya kiarabu barani afrika na kupelekea kuwaondoa madarakani viongozi wa nchi hizo kw kutumia mwavuli wa nguvu za umma la hasha ni mwavuli ule ule waliotumia iraq,misri, libya na tunisia unabadili mwelekeo na kufunika anga za seria dhidi ya...
We people from different corners of east africa we have to be very sensitive to overlook the coming kenyan election to reflect true democracy in this region
ACHENI KULIA TATIZO LA AJIRA NI WIM BO WA TAIFA HATA SISI WANA CHUO CHA TAIFA(UDSM) TUNASUFER ILE MBAYA KUHUSU MCHONGO WA AJIRA, SO KAA, FIKIRI, CHUKUA HATUA au VP? man wangu ......................................////
Mboni kimya kingi kuhusu mchakato mzima wa uandikaji wa katiba mpya kwani watanzania tupo kimya tukifuatilia suala hili kwa kina kwani tunatambua katiba n imzingi na mwongozo wa kila mtanzani katika shughuli zake za kila siku. Hivyo basi wakilishi wetu ni vema wakati huu mungeweza kutumia wakati...
Nazani ni wakati wetu muafaka sasa kufanya tafakuli ya kina katika nyanja ya elimu. Naanza kwa swali je elimu tunayo katika nga ya vyuo vikuu inakizi vigezo vya ushindani wa kimataifa? Kama ni hivyo basi ni wakati sasa wa kuhakiksiha elimu tunayo ipata inaweza kukizi ushindani katika soko la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.