Hata mimi nilizungushwa sana NMB-NELSON MANDELA MOSHI hadi basi kumbe jamaa anataka chake kwanza!
Kwa mil 6 alitaka 200,000, akaishia 150,000,hapo aligoma kabisa kushuka!
Nikakubali kitu kikatoka kimechomolewa 150,000.
UJAMAA na KUJITEGEMEA.
NINA STATIONARY HAPA MOSHI MJINI ENEO LA MBUYUNI,NINAOMBA TENDA YA KUCHAPISHA MITIHANI NA NAKALA MBALIMBALI ZA SHULE AU OFISI YOYOTE ILE.
Mawasaliano:aloyce_emmanuel@yahoo.com
0764506775
Nina stationary Moshi mjini eneo la Mbuyuni, ninaomba Tenda ya kuchapisha mitihani au nakala mbalimbali za shule au ofisi yeyote ile.
Mawasiliano:aloyce_emmanuel@yahoo.com
0764506775.
Nipe namba ya simu au email yako tuwasiliane.Yaliyokupata yanafanana na yaliyonipata,nimeteseka miaka 6 lkn kwa kudra za mwenyezi Mungu akanifungulia,nikikumbuka machozi yananitoka!
Kweli jamaa yupo sahihi,nimefanya hilo zoezi tangu mwaka 2009,ninaweza kukaa zaidi ya saa 1 au mpaka naamua mwenyewe!
Kwa kina zaidi tafuta kitabu kimeandikwa UFUNDI KATIKA KUPENDA,mwandishi Dr PAUL NELSON wa kliniki ya afya ya mapenzi MWANZA!
Ndiyo hivyo,hakuna overtime kwenye ualimu,teaching allowance ziliondolewa kitambo,unakatwa CWT,PAYE,LAPF/PSPF n.k,National income,NHIF bado ulipe kodi ya nyumba na usafiri,si unajua shule nyingi siku hizi hazina nyumba za walimu!
Ili ufanikiwe lazima ukomae la sivyo utajaza madeni dukani!
SHULE YA MSINGI ILEYA,IPO KIJIJI CHA IFWENKENYA,KATA YA IFWENKENYA,TARAFA YA SONGWE,WILAYA YA CHUNYA,MKOA WA MBEYA.NILIMALIZA MWAKA 2002.
Namkumbuka sana mwalimu aliyenifundisha a e i o u.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.