Mwandwanga
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,059
- 1,568
- Thread starter
- #81
Sasa usijelogwa kuomba mkopo EFC!Utabembelezwa kufungua account kwao na utaonekana ni wa thaman.Gharama za kuomba na kupata mkopo hujulishwi,utaanza kukamuliwa hatua kwa hatua.Mkopo utaambiwa unapatikana wiki 2 lakin miezi 2 tena baada ya kukopa michache.Uongozi wa juu (wazungu) wanategemea taarifa toka kwa viongozi weusi ambao wako ktk mtandao wa rushwa.hivyo hawapewi taarifa sahihi.Zaidi hao wazungu wanatoka na hao weusi(watendaji wa juu pale wote wanawake).
EBU JARIBU KUOMBA MKOPO PALE,
Kama sijakuelewa Mkuu!