NMB Idara ya mikopo Rushwa imekithiri

Sasa usijelogwa kuomba mkopo EFC!Utabembelezwa kufungua account kwao na utaonekana ni wa thaman.Gharama za kuomba na kupata mkopo hujulishwi,utaanza kukamuliwa hatua kwa hatua.Mkopo utaambiwa unapatikana wiki 2 lakin miezi 2 tena baada ya kukopa michache.Uongozi wa juu (wazungu) wanategemea taarifa toka kwa viongozi weusi ambao wako ktk mtandao wa rushwa.hivyo hawapewi taarifa sahihi.Zaidi hao wazungu wanatoka na hao weusi(watendaji wa juu pale wote wanawake).
EBU JARIBU KUOMBA MKOPO PALE,

Kama sijakuelewa Mkuu!
 
Nilienda NMB pale Temeke Sudanese nikamkuta mama mmoja mweusi kibonge na yeye alinizungusha huyo wakati vigezo vyote nilikuwa navyo.Nikaenda zangu access bank na akiba commercial bank nikapata mkopo haraka na bila longo longo yeyote.
Yaani uhonge laki tatu ili upewe milioni moja dah kweli hawa hawana akili.
 
Ukitaka kula lazima uliwe,,,mwenzako wanachukua mikopo bizness zinaenda wanajenga wanadrive we unakuja kulalamika umeombwa laki 2 3 komaa no body care nchi hii ka mkeo alikuwa ana vigezo kwann aende nmb kuomba mkopo???haupo tayari kutoa rushwa nmb ila tra ulikuwa tayari????

Umesoma vyema maelezo yangu? :(
 
Nilienda NMB pale Temeke Sudanese nikamkuta mama mmoja mweusi kibonge na yeye alinizungusha huyo wakati vigezo vyote nilikuwa navyo.Nikaenda zangu access bank na akiba commercial bank nikapata mkopo haraka na bila longo longo yeyote.
Yaani uhonge laki tatu ili upewe milioni moja dah kweli hawa hawana akili.

Nashukuru kwa Ushauri mkuu.
 
Ndugu wana jamii forums,

Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu nchini kote, NMB inafanyiau chunguzi maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki dhidi ya wafanyakazi waliotajwa na wengine wenye tabia kama hizo.

Ndugu wana jukwaa, NMB inajipambanua kwa kusimamia maadili moja wapo ikiwa ni uaminifu kwa wafanyakazi wake.
NMB pia inapenda kuwa hakikishia wateja na jamii kwa ujumla kwamba itaendelea kusimamia sera zote za benki ikiwa ni pamoja na kutovumilia wafanyakazi wasio waadilifu.

kama kutatokea umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhari toa taarifa kupitia njia zifuatazo:

1. Kupitia tovuti: http://www.nmbtz.com
2. Kupitia e-mail maalumu: whistleblower@nmbtz.com
3. Kwa posta – Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kamaifuatavyo:

Afisa Mtendaji Mkuu (Bahasha iandikwe "Siri")
Makao Makuu ya NMB,
P. O. Box 9213,
Azikiwe/Jamhuri Street,
Dar es Salaam, Tanzania.

4. Au kwa kupiga simu zifuatazo:
0658 751 000 Tigo
0779 751 000 Zantel
0685 751 000 Airtel
0800 751 000 Vodacom
 
Nduguwanajamii forums,

Tunashukurukwamaoniyenumliyowekahapajuuyahudumamnazopatakwenyematawiyetunchinikote, NMB inafanyiauchunguzimaoninamalalamikoyenunatunawahakikishiakuwatutachukuahatuastahikidhidiyawafanyakaziwaliotajwanawenginewenyetabiakamahizo.

Nduguwanajukwaa, NMB inajipambanuakwakusimamiamaadilimojawapoikiwaniuaminifukwawafanyakazi wake.
NMB piainapendakuwahakikishiawatejanajamiikwaujumlakwambaitaendeleakusimamia sera zotezabenkiikiwanipamojanakutovumiliawafanyakaziwasiowaadilifu.

kamakutatokeaumepatahudumaisiyoridhisha au ufanyajikaziusiofuatamaadili, uaminifunauadilifu, tafadharitoataarifakupitianjiazifuatazo:
1. Kupitiatovuti: http://[url]www.nmbtz.com[/URL]
2. Kupitia e-mail maalumu: whistleblower@nmbtz.com
3. Kwaposta – UnawezakutumabaruakwaAfisaMtendajikamaifuatavyo:

AfisaMtendajiMkuu (Bahashaiandikwe “Siri”)
MakaoMakuuya NMB,
P. O. Box 9213,
Azikiwe/Jamhuri Street,
Dar es Salaam, Tanzania.

4. Au kwakupigasimuzifuatazo:
0658 751 000 Tigo
0779 751 000 Zantel
0685 751 000 Airtel
0800 751 000 Vodacom

Imenichanganya kuisoma habari hii kwa kweli, je ndio mtindo mpya wa kuandika huu kutoka bank au jina lako ni NMB
 
Nduguwanajamii forums,

Tunashukurukwamaoniyenumliyowekahapajuuyahudumamnazopatakwenyematawiyetunchinikote, NMB inafanyiauchunguzimaoninamalalamikoyenunatunawahakikishiakuwatutachukuahatuastahikidhidiyawafanyakaziwaliotajwanawenginewenyetabiakamahizo.

Nduguwanajukwaa, NMB inajipambanuakwakusimamiamaadilimojawapoikiwaniuaminifukwawafanyakazi wake.
NMB piainapendakuwahakikishiawatejanajamiikwaujumlakwambaitaendeleakusimamia sera zotezabenkiikiwanipamojanakutovumiliawafanyakaziwasiowaadilifu.

kamakutatokeaumepatahudumaisiyoridhisha au ufanyajikaziusiofuatamaadili, uaminifunauadilifu, tafadharitoataarifakupitianjiazifuatazo:
1. Kupitiatovuti: http://[url]www.nmbtz.com[/URL]
2. Kupitia e-mail maalumu: whistleblower@nmbtz.com
3. Kwaposta – UnawezakutumabaruakwaAfisaMtendajikamaifuatavyo:

AfisaMtendajiMkuu (Bahashaiandikwe “Siri”)
MakaoMakuuya NMB,
P. O. Box 9213,
Azikiwe/Jamhuri Street,
Dar es Salaam, Tanzania.

4. Au kwakupigasimuzifuatazo:
0658 751 000 Tigo
0779 751 000 Zantel
0685 751 000 Airtel
0800 751 000 Vodacom

Sasa hapa ndo umeandika nini!!!!
Huo mshahara wanakulipa bure tu
 
Hata mimi nilizungushwa sana NMB-NELSON MANDELA MOSHI hadi basi kumbe jamaa anataka chake kwanza!
Kwa mil 6 alitaka 200,000, akaishia 150,000,hapo aligoma kabisa kushuka!
Nikakubali kitu kikatoka kimechomolewa 150,000.
UJAMAA na KUJITEGEMEA.
 
mkopo wa milioni moja, mkopo wa laki tano unaenda bank ya NmB, duh, watanzania wana shidaaaaa, hiyo hela si ungekopa hata kwa rafiki yako tu jamani. pengine nmb wameona ni hasara, mikopo midogo hiyo hawawezi kukuthamini kwasababu una faida kidogo sana kwao ndio maana unaona kama wanakuonea. nenda saccos au upatu wa mtaani huko au weka hela kwenye kibubu, laki tano haustahili kwenda kukopa bank. tuache utani jamani. hata milioni moja au mbili unaenda bank? hizo hata waendesha bodaboda wanazo majumbani mwao, kwanini mnapenda kunia madogo kiasi hicho, think big, act big....alaaa.
ama kweli mwenye shibe hamjui mwenye njaa.aliye kupa wewe ndie aliye wanyima.lakini ukumbuke mtaka chongo huita kengeza
 
We pwapwasa acha kuchafua majina ya watu kidwanzi!hiyo 25000 hukuombwa na ndio mana umeshindwa sema sababu ulizokuwa unapewa hadi ukafikiria unazungushwa sana na kwamba wote ni walewale wanaotaka rushwa.
Pili,mikopo ya biashara na ya watumishi inashughulikiwa na maafisa mikopo tofauti,onesha alice ANAHUSIKAJE kwenye kuombwa rushwa mkeo ambae ni mtumishi na wewe ni mfanyabiashara.
Tatu,wewe ni mnafiki sana!wasema TRA uliwatengea kabisa pesa ya rushwa,sasa hapa umekuja kufanya nini wakati ndio 'michezo' yako?
Usivyo na haya unadiriki kutaja hata jina la mtu eti alikuomba unachokiita rushwa ya 15000 ya mafuta,mwaka mmoja na nusu uliopita!!unajielewa wewe kweli?
Jitazame sana wewe pwapwasa!
mmeumbuliwa sasa naona mnatapatapa mchezo wenu kwishiney. mmeiba mno tena ninyi nisawa na vibaka mshahara unalipwa na benk bado tu pesa ya mtaja nayo uidandie.sijui mna mtindio wa ubongo
 
Ningekushauri umuone Meneja wa Tawi (Branch Manager) uwekano mkubwa hajui hayo matatizo unayopata kwa sababu moja ya lengo kubwa la benki ni kutoa mikopo na hilo lengo upewa Meneja wa benki kama kipimo chake katika kazi. unahangaika na watu wa chini ndio maana hupati jibu. huitaji kuhonga hata sumni, maranyingi wateja ndio uharibu wenyewe kwa kutoa hongo. unaombwa hela ya mfuta ya gari kwani ni polisi hao? gharama ya mkopo huwa inajumuisha yote hayo.
 
Matatizo ya rushwa kwenye mikopo sio NMB peke yako, karibu bank zote watu wanalalamika. Mkopo hausogei mpaka utoe ahadi ya kutoa kidogo kidogo kwa watakaokushughulikia, utadhani hawana mishahara wakati hizo ndio kazi zao. Stanbic, Standard chartered, Barclays na nyingine nyingine hali moja. Unawekewa vikwazo ambavyo havina maana ili mradi uwape chochote. EFC nao mpaka yule atakayeingiza file kwa boss kuidhinisha mkopo wako nae umpe chochote, vinginevyo file anatia kwenye draw yake linamaliza ma wiki halishughulikiwi. Upuuzi mtupu..! dawa ni kuwapa pesa ya PCCB au kuonana na boss mwenyewe ndio watatia akili. wanasahau kua wewe ndio utalipa mkopo na pesa nyingi unakatwa mwanzoni ambazo haziwahusu.
 
hiyo sio NMB tu asilimia kubwa ya bank za tz zinasumbua hivyo usumbufu kama huo nimejutana nao ACCESS BANK.
Nilipojaribu kugoma kutoa chochote kias walichitaka nikaambiwa siwez pata mkopo nilioomba bas ikabidi nitoe kias ili kupata mkopo kwa sababu nilikuwa na shida ndo maana nilitoa tena na hapo afisa mikopo kaniambia nimetoa ndogo kwa sababu haitoshi kugawana na bos wake kwa maana kuwa kuna mkubwa wake wa kaz wanakula nae deal hizo.
 
kumbe!! mimi pia yamenikuta nimejaza mkopo wiki inaisha sasa bado sijaingiziwa hela kwenye akaunti yangu... halafu naona kama afisa analeta ujanja ujanja kama ananisoma afanye kazi yake kabla sijaenda kwa meneja wake kumshtaki...
n.b SITOI HATA KUMI.
 
mkopo wa milioni moja, mkopo wa laki tano unaenda bank ya NmB, duh, watanzania wana shidaaaaa, hiyo hela si ungekopa hata kwa rafiki yako tu jamani. pengine nmb wameona ni hasara, mikopo midogo hiyo hawawezi kukuthamini kwasababu una faida kidogo sana kwao ndio maana unaona kama wanakuonea. nenda saccos au upatu wa mtaani huko au weka hela kwenye kibubu, laki tano haustahili kwenda kukopa bank. tuache utani jamani. hata milioni moja au mbili unaenda bank? hizo hata waendesha bodaboda wanazo majumbani mwao, kwanini mnapenda kunia madogo kiasi hicho, think big, act big....alaaa.
You can't be sereous mkuu unless we si mtanzania
 
msinikumbushe naweza kulia nmb nina viwango vyote vya rushwa 5m laki 4 10m laki saba utakiunaacha.
 
mkopo wa milioni moja, mkopo wa laki tano unaenda bank ya NmB, duh, watanzania wana shidaaaaa, hiyo hela si ungekopa hata kwa rafiki yako tu jamani. pengine nmb wameona ni hasara, mikopo midogo hiyo hawawezi kukuthamini kwasababu una faida kidogo sana kwao ndio maana unaona kama wanakuonea. nenda saccos au upatu wa mtaani huko au weka hela kwenye kibubu, laki tano haustahili kwenda kukopa bank. tuache utani jamani. hata milioni moja au mbili unaenda bank? hizo hata waendesha bodaboda wanazo majumbani mwao, kwanini mnapenda kunia madogo kiasi hicho, think big, act big....alaaa.
Naona umeongea kama mmoja wa watu wapumbavu(hilo sio tusi). Hivi wewe unaelewa kweli maana ya National Microfinance bank?hivi do u know why NMB was formed from NBC? For your information ni kwamba kutoa mikopo kwa wajasiriamali wadogowadogo ndio lengo hasa la hiyo bank na wala sio watu wenye mitaj mikubwa kama unavyodhan.
 
Back
Top Bottom