Search results

  1. JuniorDarilson_

    Airtel 5G Unlimited Internet

    Ndugu zangu nilijiunganisha na airtel 5g unlimited internet nikajua kwamba hawana limit ya volume kumbe unahesabiwa gb na GB zikiisha speed ya internet inapungua. Mimi nilitoka kuwa na speed ya download 30Mbps Upload 5OMbps kwenda mpaka 1Mbps download na 2Mbps upload daah nichangamoto kubwa...
  2. JuniorDarilson_

    Nichague ipi kati ya Fiber TTTCL vs GoFiber?

    Ndugu zangu naomba mnipe ushauri kati ya Gofiber na TFiber (ttcl) ipi imetulia sana kwa maswala ya kucheza games online coz nataka nianzishe streaming. Ipi uhakika ndugu zangu?
Back
Top Bottom