Search results

  1. I

    Vyuo vya kati Tanzania ajira zake hutolewa mwezi gani kila mwaka?

    Vyuo gani vya kati unamaanisha na course ipi?
  2. I

    Mtoto wa kwanza kwetu amechukua nafasi ya mzazi

    Hapana mzee mtu mzima sana sister wa makamo
  3. I

    Mtoto wa kwanza kwetu amechukua nafasi ya mzazi

    Ndo kinachotokea amemlaghai mzazi kuuza viwanja viwili kisa huo mkoa hakuna anayekaa mimi ndo nimekomaa Kiwanja kimoja kimebaki. Mashamba heka kumi akataka kuuza nimemgomea ugomvi mkubwa. Hapa anataka kuuza na nyumba. Wazazi wanamwangalia Tu.
  4. I

    Mtoto wa kwanza kwetu amechukua nafasi ya mzazi

    Habari. Ninaishi kwenye familia ambayo wazazi wamempa nafasi kubwa mtoto wa kwanza Tuseme first born wetu. Kiukweli hali hii imekuwa ikinikwaza sana hadi niliapa siku nikija kuzaa sitafanya hivi kwa watoto wangu. First Born wetu ni kama ndo msemaji mkuu wa familia, kila anachosema yeye ni...
  5. I

    Imekuaje kumekuwa na ongezeko la machawa wanaomsifia Rais Samia?

    Habari. Kimekuwa na ongezeko la vijana maarufu hasa wanaujulikana kama macelebrity. Kutwa wamekuwa wakimsifu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kudai anaupiga mwingi. Sijasema waache au wasiendelee kumsifia ila mimi naona kama uchawa wa kutaka kuitwa kwenye madaraka na nafasi za bure...
  6. I

    Msaada kuhusu makato ya Serikali

    Zinakatwa sikuizi
  7. I

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Vitu vya kisenge wanaviendekeza. Yaani Taasisi ya serikali imekuwa kama ya binafsi
  8. I

    KERO Lini Serikali itaondoa changamoto ya kivuko Ferry?

    Habari za mchana. Je, serikali imejipanga vipi na ina mpango upi wa muda mrefu kwa wakazi wa Kigamboni ambao wakuwa wakipata hadha ya kuhangaika na usafiri wa kivuko Ferry takribani mwezi mmoja sasa, kivuko kinachofanya kazi ni kimoja tu MV kazi. Ambacho kuvuka upande mmoja kwenda mwingine...
  9. I

    Nimepata kazi ya mkataba ila nilikuwa na uhitaji wa kazi ya kudumu

    Nina private mkataba nakula kama ya halmashauri halfu mjini
  10. I

    Nimepata kazi ya mkataba ila nilikuwa na uhitaji wa kazi ya kudumu

    Ahsante shida . Mjini nina kibarua cha private chenye mshahara kama huu
  11. I

    Nimepata kazi ya mkataba ila nilikuwa na uhitaji wa kazi ya kudumu

    Umepatia Mradi unaitwa TMCHIS (Tanzania maternal child health initiative project ) imefadhiliwa na World bank iko chini ya Tamisemi na Wizara ya afya.
  12. I

    Nimepata kazi ya mkataba ila nilikuwa na uhitaji wa kazi ya kudumu

    Ajira ya kudumu ina utamu wake unafanya Longterm plan.
Back
Top Bottom