Dar watu wake hawajastaarabika kwa kweli, wao kila kitu ni kugombania tu! Halafu hawa jamaa wa mwendokasi nao wangekuwa wanapishanisha mabasi hata dakika 10 ingekuwa afadhali. Sasa mtu unakaa kituoni mpaka nusu saa hujaona gari!
Kumbuka enzi hizo barabara zilikuwa nyeupe! Sasa hivi bodaboda maelfu njoo daladala nazo ni hatari tupu. Sasa tukiachiwa tujiamlie tutapoteza viongozi kwa uzembe!
Yaani mnataka mwingine daladala zenu kwenye msafara? Mkituulia CDF sisi tutafanyaje? Unaijua gharama ya kumtengeneza CDF wewe? Huyu ndugu yenu hatakaa arudie huo ujinga!
Ndiyo boom ni ile hela ya kujikimu ambayo wanavyuo wanapewa 10,000 kwa siku. Ada ndiyo hawapewi mkononi, inalipwa moja kwa moja kwenye akaunti ya chuo. Huyu mbunge amekosea, wigo wa mikopo kwa wanafunzi uongezwe ili wengi WAPATE. Tena vigezo viondolewe ili wanafunzi wote wapewe mkopo! Hela ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.