UDOM inaendeshwa kibabe sana na yule prof wa kipare aan no kiswahili. Amekuwa mbele kutishia wafanyakazi wake,anajiona Mungu mtu. Hajui km hata watu wake wa karibu wanamzunguka kwa sasa kiasi kwamba copies za malipo ya 10% zote wamewapatia viongozi wa chama cha walimu. Ilichobakia ni kumlipua...
kama ikiwezekana wasiwe wanatuita majina ya sweetie,baby na mengine ambayo huwa wanawaita wasichana wenzao coz ni rahisi sana kuwasingizia wenzao pindi wanapofanya madudu!!!!!!!!!!!!!! hawa viumbe wana mbinu nyingi asikwambie mtu!!!!
Kuna habari nimeambiwa na ndugu yangu aliyepo huko eti takribani waajiriwa wapya wa Choo Kikuu Cha Dodoma wapatao 80 hadi 100 hawajalipwa mshahara wa mwezi uliopita mpaka hv sasa. Kitu cha kushangaza uongozi umekaa kimya bila taarifa yoyote,tetesi zinasema kuwa taarifa iliyotolewa kipindi cha...
hey great thinkers naomba ukaribisho jamvini.. nimekuwa msomaji wa threads na comments mbalimbali za wajajf almost mwaka mzima na kugundua kuwa hapa ni mahali muafaka wa mimi kuwa member... pls wanaf naomba mnipokee!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.