Habari wakuu,
Nimekuwa nikitafuta flat screen TV ya led 42 inch kwa muda mrefu ila kwa hapa bongo naona kama bei ni kubwa sana japo zinatofautiana kwa bei kwa kila brand name. Ila nimeangalia kupitia ebay naona bei zinaridhisha. Sasa niliingia alibaba ambayo ni ya China special ila bei zake ni...
habari zenu wana jf, nina tatizo moja naomba mwenye utaalamu anisaidie. nina simu yangu nokia n96 niliinunua kitambo kidogo, sasa kila nikiwasha screen haiwaki zaidi ya kuonyesha mwanga mweupe tu kwenye screen na kisha unapotea. nimejaribu kuiwasha kwa 3 button lakini wapi, nimejaribu kuiacha...
wakuu mambo niaje? naomba kuuliza hivi kwanini mitandao yetu ya voda, airtel zantel na tigo hawana 3g wilayani? nipo mkoa wa kagera kama wiki tatu hivi kikazi lakini ukiwa mkoani pale Bukoba unapata 3g vizuri tu, ila ukifika wilaya za karibu kama misenyi na karagwe basi inakuwa mgogoro, kama ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.