Napangisha Nyumba
Ipo Kiseke PPF Mwanza room 3 mojawapo ni master, sebule, jiko etc
Bei ni 2,500,000/- kwa mwaka.. unaruhusiwa kulipa miezi sita..
Karibu sana!
Hizo utt/faida, shares nk ni kwaajili ya uwekezaji wa muda mrefu, yaani after from 10 yrs na kuendelea ndio unaenjoy sio unaweka leo unataka faida kesho, yaani hizo ni za kula hapo mbeleniiii, kama unataka za muda mfupi then fanya biashara, nakumbuka miaka mitano iliyopita niliweka 10mil benk...
Nenda wizara ya mifugo utasaidiwa, nakumbuka Kuna kipindi kama ulikua unataka hizo ishu unawaona wahusika wa ranchi kitu kama hicho, unakodi unafanya kazi
Wanajamii naomba msaada,
Mi ni mmoja wa watu ambayo majina yetu yalikosewa wakati wa majibu ya darasa la saba, assume jina lako ni Hassan wakati wa matokeo ije Hassanae, kiukweli naboreka mno, nimesomea jina Hilo Hilo Hadi nikamaliza chuo, Sasa nimeanza masters nje jina linatokezea like lile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.