Black Mirror
JF-Expert Member
- Oct 17, 2019
- 853
- 1,084
1, 2 na 22 miradi mizuri sana.
Mie niliulima huu kidogo, vp soko lake mkuu?kilimo cha uyoga
Kwa maziwa na nyama now ni karibia nchi nzima, Majanga ya asili hasa Ukame yanateketeza sana mifugo hasa Ng'ombe, hajuna kwenye unafuu sana, hata huku Kaskazini, na kwa baadae nyama itakuja kuliwa na wenye uwezo tu, wengine tutangoja siku za sikukuu.
I concur with you. Nishafuga nguruwe kwa miaka 2 nilichanganya santula na highbreed kama PT, duroc na DuPi. Nilichofanya ni kama nilikuwa natunza excess money yangu niliyokuwa napata kazini, let say kila mwezi Kuna laki 5 nainywea pombe basi nikawa nalishia nguruwe nakuja irudisha baadae nikipata shida nauza nguruwe. Sasa maamuzi yangu ni nn?mi ninavyoona ufugaji wa nguruwe ni kama mali akiba
ukianza na malisho yao+madawa(chanjo) unakuja kumuuza kwa bei
ambayo haijapishana sana na gharama ulizotumia katika ufugaji wake
Nikitaka m25 natakiwa niwe na nguruwe 100 ambao nimewatunza kwa miez 8, gharama ya matunzo?Ufugaji wa nguruwe unalipa sana, hasa ukipata mbegu nzuri. Maana nguruwe ukimtunza vizuri, akiwa na umri wa kuanzia miezi 8. Siyo chini ya 250,000. Hiyo inategemeana na maeneo uliyopo.
Huo mziki sio wa nchi hii.Nikitaka m25 natakiwa niwe na nguruwe 100 ambao nimewatunza kwa miez 8, gharama ya matunzo?
Ian mawazo kama yangu.Mimi no.19, Bata, lakini kwanza mpaka nifanye upembuzi yakinifu hahah kuona kama market ipo ama vipi, Bata ni rahisi hawasumbui sana magonjwa
Weka msimu wa kulind ngedereProject ya Kilimo cha matunda
Mfano apple unachomeka machipukizi na wewe unakazana kulima tu mazao mengine humo humo mfano mahindi baada ya miaka mitatu unamiliki eka ya apple