Search results

  1. Vangiporini

    Nipo dilema: Je, niuze pikipiki yangu Boxer BM 150 ninunue Shineray inayotumia umeme?

    running cost ya hiyo scooter ni ndogo ni kweli, lakini baada ya muda ndo utajua kwanini wadau wanashauri ubakie na boxer maana betri likishaanza kusumbua ndo changamoto itaanzia hapo lakini pia huu umeme wetu haueleweki. mimi mwenyewe nina boxer 150 gia 4 domo la mamba tangia 2019...hii chuma...
  2. Vangiporini

    Nitumie vigezo gani kununua pikipiki used

    Ndugu mtoa mada nikwambie tu kwamba huyo fundi anayesifia kila pikipiki eti mashine achana nae. Kwanza pikipiki nzima huna haja ya kuhangaika na fundi maaha changamoto ndogondogo ni kawaida, cha msingi angalia; INJINI ~kwanza sikiliza mlio wa engine. Ingine isiyo na shida inarun smooth haina...
  3. Vangiporini

    Jinsi ya ya ku-edit pdf document

    Kama ni mtumiaji wa TORRENT sites ingia, tafuta NITRO PDF ambayo ipo CRACKED download then install kwenye PC yako Hii inaconvert PDF to DOC, EXCEL, JPG na inaweza edit PDF bila hata ya kuoconvert, chamsingi hiyo PDF isiwe ilikuwa scanned kama JPG
  4. Vangiporini

    Swali: Kwanini Bodaboda nyingi sasa hivi hazina Vioo vya pembeni, (Side mirrors)?

    mimi ni mtumiaji sana wa pikipiki kwenye mishe zangu ila hii tabia inanikera sana, kwanza ni hatari sana kuangalia nyuma huku unaendesha
  5. Vangiporini

    Ni jinsi gani earthing (Grounding) kwenye nyumba ya umeme ina complete circuit?

    niseme tu kwamba Earthing system haipo kwaajili ya kucomplete circuit, Earthing system yenyewe ndo inakuwa inalinda circuit kwa kuhakikisha hakuna umeme unaovuja kwenye circuit ikisaidiwa na ELCB na RCCB ambazo zinadetect kuvuja kwa umeme kwenye sakiti (mf. Live ikagusa waya wa Earth au metal...
  6. Vangiporini

    Haya ndio magari chaguo langu

    tofauti zake ni nini mkuu?
  7. Vangiporini

    Nahitaji kufunga solar system nyumbani

    Kwa uzoefu wangu kulingana na uhitaji wako battery isiwe chini ya 200Ah, inverter kuanzia 2000W ya ukweli maana kuna nyingine zinaandikwa 2000w lkn unakuta max power ni 800w ,japo ukitaka kuwasha blender utalazimika kuzima vifaa vingine vyoote solar pannel 200w + pamoja na MPPT charger...
  8. Vangiporini

    Mnaotumia bidhaa mpya ya microsoft ya windows 10 someni tena hapa mjue hatari inayowakabili

    ni kweli Win 7 ndo lilikua badiliko kubwa hizi nyingine ni kama wanavofanya iPhone tu saiv kwa haya matoleo yao mapya
  9. Vangiporini

    Battery ipi ni nzuri kwa N60 ya IST

    [emoji23][emoji23][emoji23]
  10. Vangiporini

    Eti kufanya Engine Overhaul kunaondoa engine katika ubora na ufanisi daima?

    daaah aisee hilo swali huwa najiuliza sana mpaka huwa naona kama ni bora uagize mwenyewe engine ukiwa unajua na milage yake
  11. Vangiporini

    Eti kufanya Engine Overhaul kunaondoa engine katika ubora na ufanisi daima?

    hizo ni code za matoleo ya engine kama tu ilivyo kwenye simu ukiona s20 ama A12
  12. Vangiporini

    Wataalam wa umeme wa solar nisaidieni hapa

    unachokisema mimi nimeshakiexperience hapo shida ni kuwa hiyo DC haina current ya kutosha Binafsi niliamua kufunga charger controller yenye option ya USB na ina supply 5VDC 2A ambayo inajaza smart phone bila shida na hapa lazima uwe na USB Cable nzuri. kuhusu kuwasha taa tafuta taa za DC japo...
  13. Vangiporini

    Toyota Raum Review: Karibu tupeane uzoefu kuhusu gari hili

    nadhani kwenye design yao wangeondoa kabisa kitasa cha zile sliding doors kwa kuwa ni electric door, basi abiria wangekuwa hawanabudi kisubiri kibali cha dereva
  14. Vangiporini

    Eti kufanya Engine Overhaul kunaondoa engine katika ubora na ufanisi daima?

    nunua mswaki tuu umalize kazi, tatizo la overhaul fundi kama hayupo vzr na spea zikawa sio genuine baada ya muda mfupi sana matatizo yanaanza kuibuka tena
Back
Top Bottom