Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,467
- 23,754
DOgo huna pikipiki. Huna chochote zaidi ya tumbo limejaa choo tu. Halafu huzijui pikipiki. Huna voxer ya miaka 7 eti uuze mili 1,700,000. Kabla ya kutunga hizi stories muwe mnafanya tafiti. Hii umemsikia mtu anaongea. Ukaibeba ila ulisahau miaka aliyokaa nayo hiyo pikpiki. Miaka 7 uuze milion 1.7?Habari great thinkers
Nina boxer bm 150 niliyoitumia kwa takribani miaka 7 (84,000km mileage) sasa kuna mtu katokea anaitaka kwa 1,700,000/=
Sasa nilikuwa nafikiria nikiuza ninunue Shineray (1,400,000) yenye shape ya "Scooter" ya kuchaji maana naona ni economy kwenye suala la fuel
Sio mtu wa masafa kiivo mishe zangu ni hapa hapa mjini,, Sasa changamoto ya hizi Shineray ni speed haizidi 50km/h ila ukiicharge full ni umeme wa 400Tshs (kwamasaa 6) baada ya hapo inatembea 60 km hadi kuicharge tena
Sasa nipo dilema je niuze hii Boxer au niache,, naomba ushauri wako mwanafamilia mwenzangu