Nipo dilema: Je, niuze pikipiki yangu Boxer BM 150 ninunue Shineray inayotumia umeme?

Habari great thinkers

Nina boxer bm 150 niliyoitumia kwa takribani miaka 7 (84,000km mileage) sasa kuna mtu katokea anaitaka kwa 1,700,000/=

Sasa nilikuwa nafikiria nikiuza ninunue Shineray (1,400,000) yenye shape ya "Scooter" ya kuchaji maana naona ni economy kwenye suala la fuel

Sio mtu wa masafa kiivo mishe zangu ni hapa hapa mjini,, Sasa changamoto ya hizi Shineray ni speed haizidi 50km/h ila ukiicharge full ni umeme wa 400Tshs (kwamasaa 6) baada ya hapo inatembea 60 km hadi kuicharge tena

Sasa nipo dilema je niuze hii Boxer au niache,, naomba ushauri wako mwanafamilia mwenzangu
DOgo huna pikipiki. Huna chochote zaidi ya tumbo limejaa choo tu. Halafu huzijui pikipiki. Huna voxer ya miaka 7 eti uuze mili 1,700,000. Kabla ya kutunga hizi stories muwe mnafanya tafiti. Hii umemsikia mtu anaongea. Ukaibeba ila ulisahau miaka aliyokaa nayo hiyo pikpiki. Miaka 7 uuze milion 1.7?
 
Habari great thinkers

Nina boxer bm 150 niliyoitumia kwa takribani miaka 7 (84,000km mileage) sasa kuna mtu katokea anaitaka kwa 1,700,000/=

Sasa nilikuwa nafikiria nikiuza ninunue Shineray (1,400,000) yenye shape ya "Scooter" ya kuchaji maana naona ni economy kwenye suala la fuel

Sio mtu wa masafa kiivo mishe zangu ni hapa hapa mjini,, Sasa changamoto ya hizi Shineray ni speed haizidi 50km/h ila ukiicharge full ni umeme wa 400Tshs (kwamasaa 6) baada ya hapo inatembea 60 km hadi kuicharge tena

Sasa nipo dilema je niuze hii Boxer au niache,, naomba ushauri wako mwanafamilia mwenzangu
Sasa
Utachaji wapi na umeme hamna.
Hizo za huko kwenye umeme wa kueleweka.
 
Habari great thinkers

Nina boxer bm 150 niliyoitumia kwa takribani miaka 7 (84,000km mileage) sasa kuna mtu katokea anaitaka kwa 1,700,000/=

Sasa nilikuwa nafikiria nikiuza ninunue Shineray (1,400,000) yenye shape ya "Scooter" ya kuchaji maana naona ni economy kwenye suala la fuel

Sio mtu wa masafa kiivo mishe zangu ni hapa hapa mjini,, Sasa changamoto ya hizi Shineray ni speed haizidi 50km/h ila ukiicharge full ni umeme wa 400Tshs (kwamasaa 6) baada ya hapo inatembea 60 km hadi kuicharge tena

Sasa nipo dilema je niuze hii Boxer au niache,, naomba ushauri wako mwanafamilia mwenzangu
Huyo jamaa anajua BM ni nii ndo maana ANATOA pesa ya maana,sasa ww jichanganye
 
Duh BM noma miaka 7 na bado unaweza iuza Mil 1.7
Mkuu inawezekana kabisa tena mdau anasema kabisa chuma niyarut zamjini tu.mimi yakwangu ninamba BT_ nimenunua 2017 nihizi wanazoziita Boxer dume au mdomo wabata chuma gia nne achana nahizi zasasahiv gia 5.hadi leo kuna watu wananifuata wamefika bei hadi 1.8 wanaitaka mana chuma bado muonekano upo vzr na pafomance yake usipime inapanda milima kinglion anabaki anashangaa
 
Mkuu inawezekana kabisa tena mdau anasema kabisa chuma niyarut zamjini tu.mimi yakwangu ninamba BT_ nimenunua 2017 nihizi wanazoziita Boxer dume au mdomo wabata chuma gia nne achana nahizi zasasahiv gia 5.hadi leo kuna watu wananifuata wamefika bei hadi 1.8 wanaitaka mana chuma bado muonekano upo vzr na pafomance yake usipime inapanda milima kinglion anabaki anashangaa
Kwakwel boxer ni ngumu aise
Yangu pia ni model ya zamani gia 4
 
Nilipenda tu jinsi jamaa yangu anatumia unit 2 (400/=) kuja kazini hadi siku 4
running cost ya hiyo scooter ni ndogo ni kweli, lakini baada ya muda ndo utajua kwanini wadau wanashauri ubakie na boxer maana betri likishaanza kusumbua ndo changamoto itaanzia hapo lakini pia huu umeme wetu haueleweki.

mimi mwenyewe nina boxer 150 gia 4 domo la mamba tangia 2019...hii chuma hata ninunue gari hii siwezi iuza ni mninga balaa
 
running cost ya hiyo scooter ni ndogo ni kweli, lakini baada ya muda ndo utajua kwanini wadau wanashauri ubakie na boxer maana betri likishaanza kusumbua ndo changamoto itaanzia hapo lakini pia huu umeme wetu haueleweki.

mimi mwenyewe nina boxer 150 gia 4 domo la mamba tangia 2019...hii chuma hata ninunue gari hii siwezi iuza ni mninga balaa
Nakupata mkuu
 
Binafsi ninaipenda sana boxer yangu bm 150 Ina nguvu popote itume inafika kuhusu mafuta sio sana ni kawaida tu labda kwa kuwa sijawahi kumiliki pikipiki aina nyingine tofauti na hii lakini mie naitumia kwa matumizi yangu binafsi na sio bodaboda hivyo mara nyingi nipo makini kwenye service na matengenezo mengine madogomadogo kuhusu hivyo vya kucharge naona hivyo luxury sana halafu havina speed unapobidi kwenda speed lakini naona kana advantage ndogo kuliko disadvantage
Kwani BM unaniambia km ngapi Kwa Lita Moja?
 
Back
Top Bottom