Hello Wanajf nimeitwa internship WVT kupitia Taesa ila ni mkoa tofauti na nilipo, kwa mwenye experience anijuze kama WVT wanalipa interns pia au inakaaje?
Habari Wana JF,
Nimehitimu shahada ya Maendeleo Jamii. Natamani nipate internship au kazi halali. Msiulize kama sitafuti nipo natafuta na nimesambaza barua sehemu kadhaa lakini sehemu nyingi wanasema hawana nafasi so, kupitia Wana JF naweza kupata chochote.
Shukrani
Msaada members, Nina mdogo wangu amechaguliwa jeshini na kashaondoka, Sasa katika pitapita zangu nimeona Kuna mtu anasema katika application za chuo na mikopo ni lazima uwe na no. Ya NIDA.
Je ni kweli kwa wanaoelewa system vizuri maana hapa mdogo wangu Hana nida Wala hajaomba hatujui chochote
Status: Job Seeker
Profession: Community Development
Education level: Degree
Age ñ sex: Female,24
Location: Dar es Salaam, Rukwa, Mwanza, Mbeya
Job Seeking: Customer care, Receptionist, Front office, Sales, Call Agent, Matron
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.