Search results

  1. M

    Nchi imejaa Wanasiasa Malaya au Wanasiasa Fisi?

    Tumie Akili mwandishi wote aliowataja amewataja kwa kuzingatia VITUO vyao vya Mwisho kabla ya Kununuliwa na DIKTETA MAGUFULI kama wewe unataka kueleza Mwanzo wao ANDIKA ANDIKO LAKO
  2. M

    Je, Dkt. Wilbroad Slaa anajipenyeza CHADEMA kiaina kuimaliza kazi aliyopewa na CCM?

    DR.SLAA ASIAMINIWE TENA NI ASKARI MSALITI ANANUNULIKA WAKATI WOWOTE NA KWA BEI YOYOTE ALIISALITI CHADEMA KATIKATI YA VITA KWA VIPANDE VYA FEDHA NA UBALOZI
  3. M

    Dkt. Slaa asiaminiwe kamwe anauzika kwa bei yoyote wakati wowote

    Wananchi nawasabahi.Nadhani yaliyotokea 2015 wakati nchi inaelekea kwenye uchaguzi mkuu kila mtu ni shahidi. Dkt. Slaa alikuwa katibu mkuu wa CHADEMA chama kikubwa cha upinzani na mikakati yote ya ndani ya chama ya kumpata mgombea urais makini huyo Dr. Slaa alishiriki kwa asilimia 100. Chadema...
  4. M

    CHADEMA ndio waliibomoa UKAWA kwa kuwafitini Prof. Lipumba na Dkt. Slaa kisha kumualika Lowassa, sasa wataihujumu Sauti ya Watanzania

    PROF.LIPUMBA NA DR. SLAA SIO WAPINZANI WANANUNULIKA KIRAHISI UKIWAPA UDC TU WANASEMA
  5. M

    CCM "wakome" kutumia Magari ya Wafadhili kwenye Mikutano Yao!

    KUNA BALOZI WA CHINA ALIWAHI KUVALISHWA TSHIRT NA KOFIA YA CCM
  6. M

    Serikali ya CCM inaogopa nini kubadili katiba ya nchi? Mbona inabadili ya CCM!

    Wadau nawasalimu.Mada hapo juu yahusika.Kama mtakunbuka Aliyeuanzisha Mchakato wa kuwapatia KATIBA MPYA wananchi ni RAIS na Mwenyekiti wa CCM TAIFA.Mh.KIKWETE .HZOJA zake zilikuwa nzuri sana kwani alisema KATIBA tuliyonayo imepitwa na Wakati Mambo mengi yamebadilika pamoja na MAISHA kwani KATIBA...
  7. M

    Mbowe acha kug'aka ovyo. Wewe unajulikana fika ni msaliti

    Punguza Jazba utapasuka bureeee Achana na Kamanda sio level yako
  8. M

    Yuko wapi Benson Kigaila wa CHADEMA?

    MBONA YEYE HAJAKUULIZA ULIPO? UNGEMUULIZA ALIPO MZEE MANGULA INGEKUWA POA
  9. M

    Jokate na Lulandala kuimaliza CHADEMA! Nawaamini kwa mipango na Propaganda

    KAMA ALISHINDWA MWENYEKITI WA TAIFA MAGUFULI na mwisho wake AKAFA yeye badala ya CHADEMA basi HAKUNA mtu wa kuimaliza tena
  10. M

    Tunaposema CCM imeishiwa watu muwe mnaelewa Katibu Mkuu UVCCM ametokea CHADEMA

    Akili ni kutoka CCM kwenda UPINZANI ukichaa ni kutoka Upinzani kwenda Ccm
  11. M

    Katibu wa UVCCM Lulandala ana umri gani? Mbona kama umri umesogea?

    UVVCM ya AWAMU ya 6 hata Miaka 55 RUHUSA[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  12. M

    Mchengerwa amsimamisha kazi Mganga mkuu Sumbawanga Manispaa

    Huyo Mtaritinya KASABABISHA MIGOGORO MINGI NA MIKUBWA YA ARDHI MANISPAA YA SUMBAWANGA NI MLA RUSHWA SANA
Back
Top Bottom